Dalili za ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 waonyeshwa huko Zambia leo

Kiongozi wa upinzani nchini Zambia mh. Michael Sacha amechaguliwa na kutangazwa mshindi wa Urais nchini humo..Je cc tuko karibu hivyo..? Tunaye Michael Sacha hapa kwetu..?
 
Sata is the elect president man!!!!!! nachoona Tume ya Uchaguzi ya Zambia iko makini hata pale ambacho mtawala alitumia wana IT kuingiza ujinga wao kwenye website yao wamegundua na kuzuia. HApa kwetu mmmHHH!??
 
[h=1]Zambia election: Sata wins presidential race[/h]
_55537705_lusakaap.jpg
After his victory was announced, Sata's supporters celebrated on the streets of Lusaka
Continue reading the main story [h=2]Related Stories[/h]
Opposition leader Michael Sata has won Zambia's presidential election after two days of vote counting following a tight race with incumbent Rupiah Banda.
Mr Sata was declared winner by Chief Justice Ernest Sakala after polling 43% of the vote with just seven constituencies left to be counted.
The election had been marred by riots in Zambia's northern mining region.
The anger had been prompted by a ban on the media announcing results not verified by the electoral commission.
The electoral commission said it had taken the step after its website was hacked to falsely record a landslide for 74-year-old Mr Sata.
Mr Banda's Movement for Multiparty Democracy (MMD) has ruled Zambia for 20 years and this was the fourth time Patriotic Front (PF) leader Mr Sata had run for the presidency.
He lost the last election, in 2008, by just 35,000 votes which sparked rioting by some opposition supporters in the party's urban strongholds.
'King Cobra' However, they were in jubilant mood after the victory announcement early on Friday morning. The BBC's Louise Redvers, in the capital Lusaka, said parties were expected to continue into the night.
Continue reading the main story [h=2]Michael Sata - Profile[/h]
_55537707_sataafp.jpg

  • Started in politics as municipal councillor and served as governor of Lusaka under Zambia's first President, Kenneth Kaunda
  • Resigned from Kaunda's United National Independence Party in 1991 and joined Frederick Chiluba's newly-formed MMD
  • Served as MMD minister of local government, labour, and health. Was later minister without portfolio, the third-highest post in government
  • Formed Patriotic Front in 2001, losing an election that year and in 2006 and 2008
Mr Sata, who reportedly used to sweep floors at London's Victoria Station, has had a lengthy career in politics. He served as an MMD minister for local government, labour and social security, and health before quitting in 2001.
Known as "King Cobra" for his venomous tongue, foreign mining firms - often from China - have frequently been the target of his criticism about labour conditions.
While the party has disputed media reports it is anti-Chinese, it is likely to shake up the way contracts are awarded, our correspondent said.
There were suggestions Chinese firms were bankrolling Mr Banda's re-election bid in the run-up to the poll, with PF candidates expressing surprise at the amount of funds available to the MMD.
Meanwhile, international election observers criticised the MMD for abusing state resources during its campaign and noted serious media bias on the part of the state broadcaster.
However, the PF's promises of more jobs and better education appear to have won over the electorate.
 
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.


Mkuu kama kigezo ni Zambia basi atakayeshinda Urais ni Prof. Haruna Ibrahim Lipumba kwa kuwa ameishagombea mara 4 kama Michael Satta. Satta alipoulizwa kwamba mbona anan'ang'ania akasema kamuulize Rais Wade ambaye amegombea mara saba na mwishowe akaibuka mshindi. Kwa maana hiyo na kwa ulinganifu wako sioni mtu aliyegombea mara moja akashinda mara ya pili!!
 
Hata Prof. lipumba hajagive up lakini yu wapi?.Slaa ni kikongwe hatuko tayari kufanya mazishi ya rais akiwa madarakani huu ni upotezaji wa rasilimali.Afadhali ya JOHN POMBE MAGUFULI anaouzoefu serikalini kama SATTA na anao msimamo huwezi ukamlinganisha na slaa hata kidogo.Slaa si mtu wa kuunganisha watu.
 
Kilichokuwa kinafanyika Zambia ndicho kinachofanyika hapa kwetu kwenye secta ya madini. Kwa maana hii wanachi wa zambia wameamua kuubadili mfumo huu mbaya wa viongozi kuingia mikataba inayowalinda wao na chama tawala ilhali wananchi wa kawaida wanateseka na hali ngumu ya maisha. Watanzania wezangu hatuna choice bali ni kuhakikisha CCM inaondoka 2015. Hakuna anaiweza kurekebisha CCM sasa hivi kwa kuwa wote wamechafuka. Ukiangalia viongozi wa juu wote wanamiliki hisa kwenye makampuni makubwa yalioingia mikataba inayoinyonya nchi. Mifano Migodi, Mahoteli ya kitali(VIP kule serengeti), Makamuni ya samaki, makampuni ya ujenzi na hata JWTZ.
Njia pekee ni kuhamasisha wananchi wapige kura kwa wingi kwa upinzani ili usalama wa Taifa ushindwe kuchakachuwa.

Kwa pamoja tunaweza, bila unafiki na kuwa lambalamba.
 
Najua Dr Slaa anawaumiza Kichwa sana ndiyo maana hata hoja zenu huwa haziendani na mada. Ndugu yangu hata kama ni Prof tunachotaka ni chama chenu hicho CCM iondoke kama MMD.Tumechoshwa na mikatabata mibovu na uongo uliokithiri ndani ya srikali yenu ya ccm. Point taken?
Hata Prof. lipumba hajagive up lakini yu wapi?.Slaa ni kikongwe hatuko tayari kufanya mazishi ya rais akiwa madarakani huu ni upotezaji wa rasilimali.Afadhali ya JOHN POMBE MAGUFULI anaouzoefu serikalini kama SATTA na anao msimamo huwezi ukamlinganisha na slaa hata kidogo.Slaa si mtu wa kuunganisha watu.
 
..... Kwa maana hiyo na kwa ulinganifu wako sioni mtu aliyegombea mara moja akashinda mara ya pili!!

Imeandikwa mna macho lakini hamtaona, mna masikio lkn hamtasikia.
Kwa taarifa yako Dr. W. P. Slaa aligombea mara moja tu na akashinda. Muulize Kiravu vizuri atakueleza ni kwanini hadi leo kwenye Website ya nec hakuna final result zinazoonesha Jk amepata kura ngapi. Atakwambia pia ni kwanini website yao inaonesha majimbo ya Kilombero na Arumeru magharibi cdm ndio washindi lakini wakawatangaza wa ccm.
Kwa kumbukumbu tu, F. Chiluba aligombea mara 1 tu na akashinda dhidi ya Kaunda!
 
Imefika hatua wanachi tumekelimika, katiba hii haiwezi kutuamlia mtu wa kutuongoza! Haya na mambo tuliyoandika wenyewe!nguvu ya umma ndo inaamua nani awe kiongozi wetu! Hatuiamini hata chembe pamoja na makame kustaafu lakini tunasema, wakwamishe kwa jinsi wanavyoweza uwezakano wa kuwa na katiba mpya, lakini tunasema kwa hii katiba tutashinda!2015!!!!!!
 
unataka kusema Tz tutachagua chama cha upinzani kwa sababu Zambia wamechagua cha upinzani??
 
.Slaa ni kikongwe hatuko tayari kufanya mazishi ya rais akiwa madarakani huu ni upotezaji wa rasilimali.

Afadhali ya JOHN POMBE MAGUFULI anaouzoefu serikalini kama SATTA na anao msimamo huwezi ukamlinganisha na slaa hata kidogo.

Slaa si mtu wa kuunganisha watu.


Hapo naona umepotoka Mkuu? Kwani unajua Dr. Slaa atakufa lini? Mbona akina Kingunge, Malecela, Msekwa bado hatujawazika? Au wewe ni Israel mtoa roho?

Unaufahamu umri wa Magufuli? Uzoefu wa kuuza nyumba za serikali ndio unauzungumzia? Tena kwa hawara na mdogo wake? Ni msimamo wa kuhamishia barabara ya chato - biharamulo kijijini kwake au ni msimamo upi?

Si huyu Dr Slaa waliowaunganisha watz na wapenda mabadiliko nchini wakakichagua cdm katika majimbo zaidi ya 22 kutoka 5 ya awali akiwa mtendaji mkuu wa chama? Si huyu aliyewahamasisha watz tuihoji serikali kupanda kwa bei ya sukari, wakaishusha?

Fikiria kwa ubongo dada na sio masaburi!
 
Hata Prof. lipumba hajagive up lakini yu wapi?.Slaa ni kikongwe hatuko tayari kufanya mazishi ya rais akiwa madarakani huu ni upotezaji wa rasilimali.Afadhali ya JOHN POMBE MAGUFULI anaouzoefu serikalini kama SATTA na anao msimamo huwezi ukamlinganisha na slaa hata kidogo.Slaa si mtu wa kuunganisha watu.
why are you guys scared of this man, Slaa? It make me wonder! Anyway I read somewhere that Satta is 74 and I don't think Slaa is there yet. So in your post the age is not the issue and the real issue is hidden!
 
Tunawapongeza ndg zetu kwa uamuz waliochukua ni wa busala.hongeleni ndg zetu tanzania tujifunze hasa tume ya uchaguzi
 
Niko huko kwaiyo naweza toa mchango wangu.
Zambia kuko kama Tanzania tu kuhusu wapinzani kugombana. Vyama vidogo vodogo vya upinzani vilikuwa vinamkejeli Michael Sata na PF yake. Ilikuwa kama walikuwa wametumwa na chama tawala.
Pili. Chadema inaweza pata ushindi hata kwa katiba iliyopo. Zambia kulikuwa na malalamiko ya miaka mingi kuhusu katiba lakin serikali iliziba masikio na mda mwingine kucheza dana dana.
Kinachotakiwa ni Chadema kuondelea na harakati za kuelimisha wananchi. Zambia kimeelewa kataka katiba tope, Tanzania pia. Dr. Slaa, usikate tamaa. Sata alishindwa mara 3, ya 4 amepata[/QUOTE

Si rahisi kwa Chadema ama chama chochote cha upinzani kushinda katika mazingira tuliyonayo; tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguz vinginevyo yatakuwa yakijirudia tu.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Back
Top Bottom