asseyfredy
Senior Member
- Mar 30, 2017
- 115
- 78
Bangi achaJibu hoja kiongozi? Mbona unaamini katika bangi kama rafiki yako hapo juu?
Bangi achaJibu hoja kiongozi? Mbona unaamini katika bangi kama rafiki yako hapo juu?
kwanza muache kuzaa na wake za watu...mwabieni mkuu wenu tushamjua michezo yakeSasa kama huwa wanaiba kura unashindana kwa nini siukae chini utulize mitako?
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Wewe ni Mhenga mwenzagu wala usishangae kubatizwa tena.
ameruhusu tuoe wanawake wengi atatoa msaadakwanza muache kuzaa na wake za watu...mwabieni mkuu wenu tushamjua michezo yake
We unalipwa elfu 7 sasa unadhani utapata uwezo wapi? wa kuoa wake wengi au unataka watoto uje uwalieshe...Kalio la mtulia.ameruhusu tuoe wanawake wengi atatoa msaada
fu.k u niger inaonekana sisiem wanakupia mbo. sanaSasa kama huwa wanaiba kura unashindana kwa nini siukae chini utulize mitako?
Hukumbuki Songwe International Airport na lami pamoja na umeme kwenye migomba ya Rombo, Marangu, Mwanga, Same, Old Moshi na Kilimanjaro nzima?Wakati umasikini ukiendelea kwa wananchi, maendeleo yaliyoletwa na awamu ya tano ni bomoa bomoa wa nyumba za wananchi, ujenzi wa Chato International Airpot na ujenzi wa Chato Referral Hospital
elfu saba na msaada wa MkuluWe unalipwa elfu 7 sasa unadhani utapata uwezo wapi? wa kuoa wake wengi au unataka watoto uje uwalieshe...Kalio la mtulia.
Wanaume kama mabntelfu saba na msaada wa Mkulu
haya bwana tukana mabinti wametuzaa, ndio mama zetu tusiwadharau! Acha dharau ya nshomile owomkyalo!Wanaume kama mabnt
Sema dalili za wizi weweKulingana na muonekano wa kampeni za Kinondoni, CCM inaonekana kushinda nafasi ya ubunge kwa kura nyingi. Hii ni kutokana na jinsi hiki chama kilivyojipanga kwa ajili ya kampeni ambazo zinahudhuriwa na vigogo wa chama na serikali. Pia, kampeni hizi zinafanywa na wanachama karibia wote kwa ustarabu mkubwa.
+ vilobaMmmmmmmmm bangi