Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,296
Japo umeandika kiswahili ila nimesoma mara mbili sijaelewaKabla sijahisi chochote ilikuwa ananiangalia sana namuuliza nini wewe? Anajibu una mimba namjibu utasubiri sana, sasa ikawa mvivu sana na kula hawezi kikiletwa chakula anaanza kulalamika anachosema hakieleweki, ananisogezea na chake nile nakula halafu nilikuwa mroho sana sishibi,, kumbe nina mimba kweli siku moja kaja na mbilimbi kumbe kaomba huko alikuta zimeanikwa nilipopeleka mkono kwenye chupa jamaa nusu alie hataki na mbilimbi zake, namshukuru aliyeniumba sikusumbuka hata kidogo kwa lolote lile hadi najifungua kafanana naye sana nashukuru umbo na nywele ni kwangu Hii imekaa vizuri anakuwa na huruma sana kwa mwenza wake