JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Kuona maluweluwe kisha kupoteza fahamu
Kuanguka na kutupa miguu au mikono
Kukaza mdomo, kujing’ata na kutoa povu
Kutokwa na haja ndogo au kubwa
MUHIMU: Ukiona moja ya dalili hizi nenda haraka kwenye Kituo Cha Afya
Soma kwa kina: Ugonjwa wa kifafa: Chanzo, Dalili, Huduma kwa Mgonjwa na Ushauri wa Matibabu