Dalili za ugonjwa wa figo kwa mtu kwenye shinikizo la damu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
20210311_100102_0000.png


Iwapo shinikizo la damu liko juu sana(zaidi ya 200/120mm /Hg)

Shinikizo la damu la juu sana hata baada ya matibabu kuzingatiwa

Kushindwa kuona kwa sababu ya shinikizo la damu

Kuwepo kwa protini kwenye mkojo

Mgonjwa wa shinikizo la damu kuonesha dalili kama vile kuvimba, kukosa hamu ya chakula, kuchoka na kukosa nguvu
 
View attachment 1722584

Iwapo shinikizo la damu liko juu sana(zaidi ya 200/120mm /Hg)

Shinikizo la damu la juu sana hata baada ya matibabu kuzingatiwa

Kushindwa kuona kwa sababu ya shinikizo la damu

Kuwepo kwa protini kwenye mkojo

Mgonjwa wa shinikizo la damu kuonesha dalili kama vile kuvimba, kukosa hamu ya chakula, kuchoka na kukosa nguvu

Mada nzuri sana lakini imekosa ufafanuzi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom