UBUNIFU MZURI FOR SUREKochi la kipekee lililobonuwa na mtanzania na kutengenezwa Tanzania likiwa na Music system yenye Bluetooth, FM radio, USB port, SD port, built-in AUX cord. Pia likiwa na Shelf, Taa, Draw, na Socket ya kuchajia sim/laptop. View attachment 1721178View attachment 1721180View attachment 1721181View attachment 1721184
Sasa hata kueleza wapi yanapatikana haujaeleza mkuu kwanini?Kochi la kipekee lililobonuwa na mtanzania na kutengenezwa Tanzania likiwa na Music system yenye Bluetooth, FM radio, USB port, SD port, built-in AUX cord. Pia likiwa na Shelf, Taa, Draw, na Socket ya kuchajia sim/laptop. View attachment 1721178View attachment 1721180View attachment 1721181View attachment 1721184
Ataambiwa ana deni la 150mil.Sisi sirikali ngoja tuwahi hapo tulete kodi zetu lukuki hapo!
🤣🤣🤣Ataambiwa ana deni la 150mil.