Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,717
Ndio kusema...Aisee na mwanaume asiyekupenda anakuaje mkuu maana....🤔
Ndio kusema...Aisee na mwanaume asiyekupenda anakuaje mkuu maana....🤔
Dah kwahio umeamua kuja kusema huku kabisa we mwanamke una nini lakini!😂😂😂Aah sasa kwanini nikushushue mkuu mbona tatizo la kawaida hilo😀 ila nilikua nimesahau kumcheki huyo jamaa ngoja ntamcheki anisaidie aisee
Kama hela zinavuja tu atasemaje hakutakiSasa huyu mbona ni kama mwanamke mwenye matatizo ya kiakili!
Maana kwa mwanamke ambaye hakuhitaji, atakwambia ukweli wa mambo ili asipoteze muda wake na wako pia. Ila kama anafanya yote haya ila bado anakuvulia nguo na mnagegedana then kuna kuna shida kwenye gearbox ya kichwa chake, hayupo sawa sawa kisaikolojia.
Hahahaha yule mwamba inaonekana kabwagaTatizo smart mbish sana
Cha msingi ni mbususu tu na kutokunipiga mizinga kila saa!Unapokuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi mwanamke ambaye hakupendi kwa dhati basi utamgundua kwa dalili zifuatazo;
- Hataki kuambata na wewe katika matembezi na ikitokea anakuwa mtu wa masharti mara akuambie tangulia nakuja au pengine kutembea nawe kwa umbali.
- Anapata kigugumizi kukutambulisha kwa rafiki zake na ndugu na inapotokea amebanwa hafikishi ujumbe kwa kiwango timilifu.
- Haoneshi kubana matumizi kwa ajili ya maendeleao, kwake ni kufuja mali na anapokosa kupewa pesa ni mwepesi kulalamika na wakati mwingine kununa kabisa.
- Anaahilisha mara kwa mara kukutana na wewe tena bila kukueleza sababu za msingi Au kukutungia uongo wa dhahili na kuusisitiza bila kuona aibu.
- Anapokuwa akitoa maelezo ya mwanaume amtakaye sifa zake zinakuwa hayalingani na wewe. Anaweza kukuambia napenda kuishi na mwanaume mwenye gari au mwenye mwili mkubwa, sifa ambazo wewe huna!
- Hacheki kwa furaha hata kama ukimchekesha haoneshi furaha ya moyoni. Tena mara nyingine anakuwa mkimya na mshiwishi mkubwa wa kuachana kutoka kwenye matembezi yenu ya jioni. “Aaah, mi nimechoka narudi nyumbani”
- Anajaribu kukuunganisha na wanawake wengine na haoni vibaya anaposikia unamfukuzia mwingine badala yake anakutia moyo wa kuendelea na usaliti wako. Hana wivu kabisa.
- Hajuti anapokukosea, mwepesi wa kujitenga, kutokuzungumza nawe na mwingi wa kukusukumia makosa hata kama yeye ndiye aliyekukosea.
- Msambazaji wa habari za udhaifu wako na mtu asiyekusifia mbele za wenzake. Si balozi mwema kwa familia yake, haishi kukuponda mbele ya wazazi na ndugu zake.
- Mwepesi wa kupokea na si wa kutoa mmiliki wa mali zako na mkumbatiaji wa mali zake pia. Msiri wa mipango yake na mtu anayependa kujua zaidi ya kwako kuliko wewe kujua yake.
Nieleweshe ulivyoelewaSio kweli...nimeshaelewa baada ya kuendelea kusoma comment zenu
..ndiyo Kusema kwamba dadaangu analibwanda kweli kitandani?Dah kwahio umeamua kuja kusema huku kabisa we mwanamke una nini lakini!
Mficha maradhi kifo huja kumuumbua babe, acha niseme niponeeeDah kwahio umeamua kuja kusema huku kabisa we mwanamke una nini lakini!😂😂😂
Nahisi sipendwii😪Ndio kusema...
Dadaako wity si kanigeuzia kibao sasa..ananiambia Mimi ndy nalimwaga kitandani,mwambie aniombe radhi Kwa kweliHizo alarm ndiyo manyanyaso yenyewe sasa anakua hana uhuru bana, mwache alimwage magodoro mtanunua mengine ila ni changamoto sana mkuu basi tu, namuonea huruma huko aliko
Pole ila si dhambi bana!kama kweli unalimwaga pia endelea mkuu! Life is too short 😀😀Dadaako wity si kanigeuzia kibao sasa..ananiambia Mimi ndy nalimwaga kitandani,mwambie aniombe radhi Kwa kweli
Umeshapata houseboyUkiweka za mwanaume naomba unitag!
Alafu haya matatizo ya kujikojolea mara nyingi huwakuta wanawake..huyu financial services ana mdogo wake yupo high school ndy ana Hilo tatizo Kwa mujibu wa maelezo yake..so mtafutie dawa maana yeye anambwela Tu Hadi Leo hajachukua hatua yoyote,kuna mtu kajitokeza Ampe dawa lkn Hadi Leo mwezi wa pili Hadi namkumbusha alafu anasema alisahauSio kweli...nimeshaelewa baada ya kuendelea kusoma comment zenu
Aisee!Ubarikiwe sanaah.
Wanawake wenyewe hawajijui sisi tutawajua?Kuna nakala takriban 100,000 nilizosoma zilizoelezea namna ya kumjua mwanamke anayekupenda. Na kila nayosoma nikifika mwisho inasema kwa maelezo zaidi tafuta kitabu fulani uelewe zaidi
Nimesoma vitabu vya wanafalsafa wengi na historia zao, wapo ambao walikufa katikati ya research ikiwa bado haijakamilika wakiendelea kutafuta majibu ya kumjua mwanamke
Yupo mwanafalsama mmoja alikua na hoja nzito sana ambayo ilionekana kupigiwa kura nyingi za ndio. Huyo ndo mwanafalsafa aliyesema ili mwanamke akupende unatakiwa umiliki pesa
Lakini tangu billgate na jef bozess ndoa zao ziparanguke imebidi aingie chaka tena kufanya research upya
Nawe tena umenichenjia.. Extrovert analalamika huko why umekuja kuanika madhaifu yako humu?Pole ila si dhambi bana!kama kweli unalimwaga pia endelea mkuu! Life is too short
Hahaha! Mambo yake tumuachie mwenyewe.Tatizo smart mbish sana
Hahaa nimeanika ili nisaidiwe bana😀Nawe tena umenichenjia.. Extrovert analalamika huko why umekuja kuanika madhaifu yako humu?
Mmh,nyie ndo huwa mnateseka mpaka watu wanakuonea hurumanikimpenda mimi tu inatosha
Umechagua fungu lililo jemaHahaa nimeanika ili nisaidiwe bana