Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Kifo ni wakati roho itakapojitenga na mwili . Kwa kawaida mwili unapozeeka na kufika mwisho ,roho huondoka ,hatujui inaenda wapi . Kufa kabla ya kuzeeka ni mambo ya ulimwengu wa roho . Dalili ulizosema ni ulimwengu wa roho (misukule )
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app