Wana jf na andika uzi huu nikiwa namachungu na wizara ya ajira tanzania maana nimezunguka sana na utafutaji wa ajira mpaka kila kona wanapotolea kopy za vyeti washanikalili niki ingia hata kununua kitu utasikia unatoa na copy au unataka copy za vyeti nimechoka na nina juta kusoma kilimo na sasa najipanga kutunga kitabu baada ya purukushani nilizo kutana nazo kutoka kwa waajiri wa nchi hii.
kama kuna aliyeguswa na maandalizi ya kitabu hiki ajaribu kunitupia maoni nianze kitabu hiki.
kama kuna aliyeguswa na maandalizi ya kitabu hiki ajaribu kunitupia maoni nianze kitabu hiki.