rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Tumekaa kituo cha kimara in dk 50 sasa sioni kinachoendelea,watu ni wengi anaingia mmoja mmoja kwa taratibu sana huku machine zikishindwa kusoma ticket,hapa wafanyakazi kila mmoja yupo busy na simu anachati,je ni kweli tutaweza kuendesha viwanda??