Dalili za kushindwa mradi wa BRT ziko wazi

S


Kuna watu wanajitumbukiza kwenye issues nzito za maafisa elimu huku kazi zao zimelala.
kweli wewe mtoka pabaya kwani yaelekea ndo nyinyi mnasubiri wafadhili wawaletee kila kitu hata kuua mbu ama kuharibu masalia ya mbu mnasubiri wafadhili. Mimi nimemshauri tu kwani ni mdau wa usafiri huo, lkn yeye anasema anataka kwenda na wakati, lazima ajue kuna "cost" yake ndo maana kuna kitu kinaitwa "PEAK HOURS".
 
Ullijitahidi kutabiri, sema tumelisahau Wamemchukua MO baada ya kutia nia kuutaka mradi wa the Lord jiwe.
Tumekaa kituo cha kimara in dk 50 sasa sioni kinachoendelea,watu ni wengi anaingia mmoja mmoja kwa taratibu sana huku machine zikishindwa kusoma ticket,hapa wafanyakazi kila mmoja yupo busy na simu anachati,je ni kweli tutaweza kuendesha viwanda??
 
Back
Top Bottom