jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nadhani wanatakiwa kuongeza Magari...
Pia ukaguzi wa mara kwa mara ufanyike kuona kama kuna baadhi ya Magari yanakaa yard bila kutoa huduma...ni mradi mzuri iwapo mapungufu yake yatafanyiwa kazi.
Pia waongeze udhibiti kwani wale walioko kwenye vijigeti wanachakachua risiti haswa.
Pia ukaguzi wa mara kwa mara ufanyike kuona kama kuna baadhi ya Magari yanakaa yard bila kutoa huduma...ni mradi mzuri iwapo mapungufu yake yatafanyiwa kazi.
Pia waongeze udhibiti kwani wale walioko kwenye vijigeti wanachakachua risiti haswa.