Rais alisema kila mbunge afanye Siasa kwenye jimbo lake lakini jana Msukuma alikuwa wilaya ya Hai akifanya kampeni na akasema Lowasa yupo mbioni kurejea CCM. sasa najiuliza Msukuma amekuwa ni mbunge wa hai siku hizi au ana kaimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app