Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Sasa hapo ni kufanya michezo ya kitoto. Sasa kama nina namba ya mtu why nikae kusubiria anitafute ?!
What if kama na yeye amekaa akisikilizia nimtafute hapo si ni kupoteza muda?!
Mahusiano ya miaka hii yamejawa na utoto mwingi sana na ndio maana hayaendi sababu ya hizi mind games za kisekondari.
Mnakuja kuwa serious umri umeenda mtu una miaka 35 au 40 sasa umri huo unaanzisha mahusiano ili ukafanye nini ni upumbavu mtupu. Msyuuuuuuuu
What if kama na yeye amekaa akisikilizia nimtafute hapo si ni kupoteza muda?!
Mahusiano ya miaka hii yamejawa na utoto mwingi sana na ndio maana hayaendi sababu ya hizi mind games za kisekondari.
Mnakuja kuwa serious umri umeenda mtu una miaka 35 au 40 sasa umri huo unaanzisha mahusiano ili ukafanye nini ni upumbavu mtupu. Msyuuuuuuuu