Dalili mojawapo ya kujua mpenzi uliyekutana naye kwa mara ya kwanza anakupenda

Sasa hapo ni kufanya michezo ya kitoto. Sasa kama nina namba ya mtu why nikae kusubiria anitafute ?!

What if kama na yeye amekaa akisikilizia nimtafute hapo si ni kupoteza muda?!

Mahusiano ya miaka hii yamejawa na utoto mwingi sana na ndio maana hayaendi sababu ya hizi mind games za kisekondari.

Mnakuja kuwa serious umri umeenda mtu una miaka 35 au 40 sasa umri huo unaanzisha mahusiano ili ukafanye nini ni upumbavu mtupu. Msyuuuuuuuu
 
Unapompatia namba yako ya simu, yeye ndio anakuwa wa kwanza kukutafuta, iwe kwa meseji au kwa kukupigia. Lakini wengi sisi huwa tunakosea, unakuta wewe ndio uliyempatia namba yako ya simu na unakuwa wewe ndio wa kwanza wa kumpigia mara kwa mara bila yeye kukutafuta, hiyo inaitwa kujipendekeza au kulazimisha usipopendwa. Matokeo yake, unatendwa na unakuja kulia lia huku JF.

Kuwa na msimamo huu, ukitoa namba ya simu subiri utafutwe, na si wewe kumtafuta uliyempa namba ya simu.

NB: Hii njia inatumika pale unapotafuta mke/mume
Sdhan kama n njia sahihi.........lkn iman n hakika na ni bayana ya mambo yanayotarajiwa na yasioneka. Iman yako imekuponya😎
 
Sasa hapo ni kufanya michezo ya kitoto. Sasa kama nina namba ya mtu why nikae kusubiria anitafute ?!

What if kama na yeye amekaa akisikilizia nimtafute hapo si ni kupoteza muda?!

Mahusiano ya miaka hii yamejawa na utoto mwingi sana na ndio maana hayaendi sababu ya hizi mind games za kisekondari.

Mnakuja kuwa serious umri umeenda mtu una miaka 35 au 40 sasa umri huo unaanzisha mahusiano ili ukafanye nini ni upumbavu mtupu. Msyuuuuuuuu
Kumtafuta wewe, ina maana wewe ndio unamhitaji sana kuliko yeye anavyokuitaji
 
Back
Top Bottom