Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Kwa nilivyosikia NSSF nao hawapo safari hii...
Kweli mkuu tuvumilie tu Mungu akipenda tutatoboa tu au sio mwana....?To be sincere, mwaka huu 77 hali ngumu sana... wananchi wachache sana wanaokwenda.. hata magari ktk parking nje ya 77 grounds machache..!! Naona uchumi wa wananchi umeyumba kidogo..!! Hali si nzuri, lazima niseme ukweli, hali ni tofauti na miaka ya nyuma.. labda tuvumiliane uchumi utakuwa mzuri MUNGU AKIPENDA, maana Rais wetu Magufuli anajitahidi sana, pia anamwomba Mungu sana, tuvumiliane tu..
Kweli mkuu tuvumilie tu Mungu akipenda tutatoboa tu au sio mwana....?
Nasikia jkt wanakaba watu wasio na risiti na kutaifisha Mali. Acha tuisome aisee
Na ukinunua kitu ndani hata pensel ukitoka lazima uwe na risiti kama huna unanyanganywa. Vitu vinauzwa bei sana
Hahaha......mkuu mbona unatukatisha tamaa kiasi hiki??Me ndio nilikuwa najipanga kuleta kwenye hayo mabanda kuku zangu za kilo 15 kwa 20 kwaajili ya kutanua biashara zangu kumbe mambo sio??Nina uzoefu sana na haya maonyesho mkuu , tarehe 7 ni siku ya kuhitimisha shughuli tu , manunuzi , mauzo pamoja na matangazo yote yanafanyika siku kama hizi , ngoja nikuulize kitu , hivi safari hii umesikia tena hata yale matangazo ya NUNUA MOJA PATA TATU BURE ? si kizota wala heineken wala wale wala mdudu kule mole bar , kote kimyaaaaa !!!!
Basi mnategemea pesa za wizi acha mzifunge hizo site...UCHUMI ULIOKUWA KWA WATU KIPINDI CHA JK HAUPO TENA; WATU TUNAHANGAIKIA TUMBO TU KWA SASA, SITE ZA UJENZI ZIMESIMAMA HATUJUI ZITAANZA LINI TENA
Mwaka huu kuna viingilio hivyo wingi hauwezi kulingana na bure. Uwanja wa Taifa haujawahi kujaa kwa kiingilio hata wacheze Brazil. Angalia mechi ya bure kilichotokea uwanja ulitapika. Hivyo maonesho ya mwaka huu na ya zamani hayafai kulinganishwa kuhusu idadi labda akili ziwe hazikutoshiMiaka ya nyuma maonyesho ya Sabasaba Kilwa Road yalikuwa yanashamiri na kuleta picha Fulani hivi kuhusu uchumi wa mtu mmoja mmoja na makampuni yanayoshiriki.
Lakini mwaka huu kwa karibia ya wiki sasa yamedorora na mbanda mengi hayajafungukiwa na hata wananchi hawana furaha ya kufuatili kwa nini?
Kuna dalili mbaya sana ya mwenendo wa nchi kiuchumi wa watu wake, kila mtu kapigika au tuseme wengi wamepigika na hakuna jitihada ya wazi kulikabili hilo.
Hao basibwalikuwa wanategemea pesa za wizi!Mwaka huu watu hawana pesa mana unaweza kupiga stori kwenye banda lako mpaka ukajisahau ka upo sabasaba kuonyesha biashara yako mana raia ni wa kuhesabu
Miaka ya nyuma maonyesho ya Sabasaba Kilwa Road yalikuwa yanashamiri na kuleta picha Fulani hivi kuhusu uchumi wa mtu mmoja mmoja na makampuni yanayoshiriki.
Lakini mwaka huu kwa karibia ya wiki sasa yamedorora na mbanda mengi hayajafungukiwa na hata wananchi hawana furaha ya kufuatili kwa nini?
Kuna dalili mbaya sana ya mwenendo wa nchi kiuchumi wa watu wake, kila mtu kapigika au tuseme wengi wamepigika na hakuna jitihada ya wazi kulikabili hilo.