BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,771
- 23,156
neno hili mtambuzi yaani umemaliza angle zote.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi = Utegemezi= Kujipendekeza.
Huwezi kutenganisha haya, utataka kufanya biashara badala ya mapenzi.
Suala si kukataa kujipendekeza au kuwa tegemezi.
Suala ni kutafuta mtu anayekufaa kiasi kwamba hata ukijipendekeza kwake na kuwa tegemezi kwake nyote mtafurahi.
hapa mtambuzi kala hasara! Lol. Mi nataka nikuuzi king'asti unipe talaka.
Hebu ngoja nirudie tena mkuu..si unajua leo weekend!
mkuu, hebu angalia hiyo dalili ya kwanza. Kuna relationships ambazo mmoja haruhusiwi kudadisi wala kulalamikia lolote. Hata uki-raise hoja, unaishia wewe kuomba msamaha na still it aint good enough. Katika mahusiano ni muhimu kila mmoja akawa na uhuru wa kukubaLiana kutofautiana. Na bila kusahau flexibility kwenye baadhi ya misimamo. Ukiingia kwenye uhusiano ambao wewe ndio unahitaji ku-give up everything ili ufit kwake, hilo ni chaka la miiba. Utegemezi kiasi, mapenzi kwa tele na hapo kujipendekeza hakuhitajiki.
Nakubaliana na wewe mkuu 100%, Mtambuzi unasemaje kuhusu hoja hii muhimu?Mapenzi = Utegemezi= Kujipendekeza.
Huwezi kutenganisha haya, utataka kufanya biashara badala ya mapenzi.
Suala si kukataa kujipendekeza au kuwa tegemezi.
Suala ni kutafuta mtu anayekufaa kiasi kwamba hata ukijipendekeza kwake na kuwa tegemezi kwake nyote mtafurahi.
King'asti umejuaje ndugu yangu??Nakuambia acha kunywa chang'aa ya kayole hunielewi. Njoo buruburu kuna kinywaji swaafi!
Mwenzio ndo anajua faida hii. Hata dingi aki-RIP leo anajua we are strong enough kumuangalia maza. Tena hata sijui Asprin ajilete kumrithi mjane, tunampiga interview kama ya UN hq atablow mwenyewe.
mpaka uniudhi, kwanza unatakiwa uhakikishe umejipenyeza moyoni mwangu na hata nikikohoa mara moja hutoki. Ila ukinifanya nijiskie najipendekeza kwako, ntakohoa mara 3 na kupiga chafya 2 na utaelea kwenye spit on ur way out.
Haya, kazi kwako, nakufungulia moyo:A S-heart-2:
Hujanipata,
Sitetei mzingo wa moyo wala manyanyaso kwa kutumia mgongo wa "mapenzi". La hasha.
Ninachosema ni kwamba, mapenzi si mchele useme utayaweka kwenye mizani na kupima uwiano uwe sawa. Hata hiyo kilo ya mchele inakadiriwa kwa decimal places.
Nasema kwamba, unapotafuta mpenzi, ni bora utafute kwa kujua kwamba mapenzi hayana milinganyo, na kwamba kuna sehemu itabidi ufanye atakavyo mpenzi wako (hata kama na yeye itabidi afanye hivyo hili halisawazishi, kwani hakuna vipimo vya kuhakikisha kadiri inanukuliwa).
Kwa hiyo, ukiingia kwenye mapenzi, ni bora kuingia kwa fikra ya kwamba, ukikutana na mpenzi wako ana allergy ya kula shrimp wakati wewe ndo unapenda sana shrimp, uweze kusema mie nitaacha kula shrimp kwa sababu ya mpenzi wangu, naogopa ku trigger allergy yake.
Ndiyo maana nikasema, "kujipendekeza" na "kutegemea" katika mapenzi hakuepukiki.
Cha kufanya ni kuhakikisha kwamba unayemchagua kujipendekeza kwake, na kumtegemea awe worth the privilege.
Katika dhana nzima ya "kutafuta mtu anayekufaa" kama una akili utatafuta mtu ambaye hata ukijipendekeza kwake, hata abuse privilege hiyo, actually mtakuwa mnashindana kwa kila mtu kutaka kujipendekeza zaidi kwa mwenzake.
Honey umeninunulia zawadi, na mimi nilikuchukulia mkufu huu nilifikiri utaupenda.
Si ndo mapenzi yenyewe hayo?
Kwa kujipendekeza simaanishi janaume linakupiga kila siku mwanamke uwe unang'ang'ania tu, inawezekana ni mapenzi pia, lakini mie sifagilii hayo.
machariti mepesi hivyo, orait, kazi ya kujipendekeza nitaianza soon. Let me talk to Paw kwanza aniambie alipenya penya vipi kwenye hako kamoyo kako.
Love is a phenomenon.
Hahaha, Paw usimtegemee akupe siri ya urembo. Hivi unategemea Bhakressa akupe formulae ya azam cola? Kuwa m'bunifu, afu hakikisha huanzi kuniudhi mpaka upenye hadi central core eeh:whip:
Nadhani tutofautishe 'kumpendeza' na kujipendekeza. Kujipendekeza nadhani ni wakati hakuna hiari ama kuna msukumo wa ziada. Mimi naamini mpenzi akiwa anafurahia kupendwa, haihitaji matisho wala shuruti kumfanyia jambo. Actually, when all is over huwa najiuliza hizi nguvu za kufanya yote haya nilizitoa wapi!
Nadhani tutofautishe 'kumpendeza' na kujipendekeza.
Kujipendekeza nadhani ni wakati hakuna hiari ama kuna msukumo wa ziada.
mkuu, hebu angalia hiyo dalili ya kwanza. Kuna relationships ambazo mmoja haruhusiwi kudadisi wala kulalamikia lolote. Hata uki-raise hoja, unaishia wewe kuomba msamaha na still it aint good enough. Katika mahusiano ni muhimu kila mmoja akawa na uhuru wa kukubaLiana kutofautiana. Na bila kusahau flexibility kwenye baadhi ya misimamo. Ukiingia kwenye uhusiano ambao wewe ndio unahitaji ku-give up everything ili ufit kwake, hilo ni chaka la miiba. Utegemezi kiasi, mapenzi kwa tele na hapo kujipendekeza hakuhitajiki.
\Ni kweli kwamba tunatakiwa kujitolea ili kujenga uhusiano imara na wenzi wetu. Tunaambiwa kwamba ili mapenzi yawe imara na yadumu inatupasa tusichoke kutoa, lakini kutoa huku kusiwe kwa upande mmoja, yaani kila mmoja ajitoe kwa mwenzie na hapo ndipo kila mmoja atakapofurahia uhusiano huo. Lakini pale ambapo upande mmoja ndio unajitolea kupita kiasi (hii huwa inawatokea wanawake) basi ujue huko sio kujitolea tena bali kuna utegemezi mkubwa sana wa kihisia (codependency) ambao niliwahi kuuzungumzia wakati fulani.
Akhuu, mie mtoto wa kike nakaa home nafundishwa kupika. Dad hataki ninywe pombe. Wee kajilewee zako utuachie mshiko wa ada huo.