JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Madaktari Bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji wamesema kirusi cha wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid-19, kimekuja na mbinu tofauti na za kificho kutokana na dalili zake kuu nne.
Dalili hizo zimetajwa kuwa ni:
Dalili hizo zimetajwa kuwa ni:
- Mate kukauka mdomoni,
- Kupata vipele mikononi na miguuni,
- Kuharisha na
- Damu kuganda kwenye mishipa ya moyo kunakosababisha oksijeni kutosambazwa mwilini na hivyo kusababisha kifo cha ghafla.