muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Duuuuuuuuh,Mungu anisaidie na aepushe,sitaki kuwa chanzo cha break up......ikitokea nitamwambia na kusema samahani,then tutalizungumza na kuamua hatma ya uhusiano wetu.....mi sina kipingamizi mwanaume akishaamua kuwa na msichana mwingine,siwezi mlazimisha,naye pia hawezi nilazimisha nikipenda na kuamua mimi na yeye basi......nitalia tu kama kawa then maisha yataendelea......:A S 20::A S 20:
Pengine ili kuepusha hizo unexpected heartbreaking ni vizuri mkiongea sasa hivi mkakumbushana kwamba inaweza ikajatokea ajali kama mtaendelea kujiamini kwamba hamfiki mwisho.
Halafu Michelle nikueleze ukweli rafiki yangu. It is extremely rare mwanaume afike hatua ya kukiss mwanamke halafu asimbandue. Hatuko wazungu kihivyo mama, akili yetu hung'ang'ania hapo katikati ya miguu zaidi kuliko touching