Mengine ni kweli Lizzy, cheating is a complicated business!Mwongozo mzuri ila naweza nikatoa maelezo yanayopinga hizo dondoo zote kua za mtu anaecheat!!Tena sio kwa kubahatisha ila kwakua nimeona na kupitia mwenyewe!Kwahiyo inawezekana zikaashiria kucheat au ikawa kwa sababu nyingine tofauti kabisa!
So honest to be true . . . cant be good than that.
Madame, I hope that was the past and that you are now "a good gal" kama unavyotoa maushauri yako hapa JF.
Ukweli mtupu ila hiyo ya sita sijaielewa ati.
Yanabadilikaje?
We nawe umezidi!Mpaka kuhack email ya mwenzio...!?
sa ulitaka afanyeje???We nawe umezidi!Mpaka kuhack email ya mwenzio...!?
Je ikitokea ukakutana na irresistible ukajikuta umefika mwisho wa safari bila kukusudia je. Au pia huyo bf wako pia akafika point of no return na huyo mpya.
Hapa ni kweli kabisa mimi ilishanikuta hii na nilipo hack mail yake nikakuta ushahidi wa kufa mtu. Uhusiano ukaishia hapo.
ulisha-cheat au kuwa cheated?@LizzyMwongozo mzuri ila naweza nikatoa maelezo yanayopinga hizo dondoo zote kua za mtu anaecheat!!Tena sio kwa kubahatisha ila kwakua nimeona na kupitia mwenyewe!Kwahiyo inawezekana zikaashiria kucheat au ikawa kwa sababu nyingine tofauti kabisa!
Mkuu hebu nipatue ujuzi wa kuhack email....ili niweze kufuatilia maswala kama hay kwa karibu!!! maana naona dalili karibu zote hapo juu mwenzawangu anazo!!
Amazing Gal . . . . hata hivyo una bahati. Hujakutana na Professional Cheaters. they dont leave a stone unturned. Waulize Wakuu wa Jukwaa juu ya Rules za Infidelity . . . LOL
Mkuu, umenichekesha sana . . . karibu kwenye Club ya Private Intelligence. Utafaa sana wewe. Tutengeneze pesa . . . LOL
Mkuu hebu nipatue ujuzi wa kuhack email....ili niweze kufuatilia maswala kama hay kwa karibu!!! maana naona dalili karibu zote hapo juu mwenzawangu anazo!!
Kama hukufunga ghafla its Ok na ana haki ya kupewa attention. Lakini kama ulifunga ghafla huku kiroho kinakudunda na kijasho kwa mbali . . . hapo lazima kutakuwa na mushkeli mkuu.
Husn kwa kuwa umesema ni ukweli mtupu bila ya shaka una experience fulani. Please share with us.
.