Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
1.Ukiona mpenzi wako kila unapomuomba tendo la ndoa anakwambia subiri au usubiri au unakupiga kalenda ujue bado hajaachana na ex wake
2.Ukiona mpenzi wako kila mkiongea anataka uwe unaongea point
3.Ukiona mpenzi wako kipindi akiwa na shida huwa ana speed sana ya kukutafuta alafu shida ikiisha speed inapungua
4.Ukiona ndani penzi lenu mpenzi wako hana wivu wewe ujue bado yupo na ex wake
5.Ukiona mpenzi wako kitu kidogo mkikosana anataka muanze kupeane break
6.Ukiona mpenzi wako ukianza kumpotezea yeye ndo anaanza kukutafuta kwa kasi ya 4G ujue tiyali
Haya unaweza kuendeleaa
2.Ukiona mpenzi wako kila mkiongea anataka uwe unaongea point
3.Ukiona mpenzi wako kipindi akiwa na shida huwa ana speed sana ya kukutafuta alafu shida ikiisha speed inapungua
4.Ukiona ndani penzi lenu mpenzi wako hana wivu wewe ujue bado yupo na ex wake
5.Ukiona mpenzi wako kitu kidogo mkikosana anataka muanze kupeane break
6.Ukiona mpenzi wako ukianza kumpotezea yeye ndo anaanza kukutafuta kwa kasi ya 4G ujue tiyali
Haya unaweza kuendeleaa