Daladala

Mwiyuzi

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
846
432
Huwa natumia usafiri wa daladala, kuna mambo ambayo huwa yananiletea maswali kama:
1. kwa nini wanaotaka kumkoromea konda au hata abiria wengine huwa wannasema......unajua unaongea na nani?.......usinione nimepanda daladaladala ukadhani sina gari!! wengine hufikia hatua ya kujiita usalama wa taifa n.k

2. kwa nini mtu anapofika kwenye kituo anachotaka kushuka anamuita konda kumuomba amshushe na siyo dereva.......hata kama abiria anayetaka kushuka amekaa siti ya mbele?

3. msamaha wa nauli kwa polisi na wanajeshi, kutotolewa kwa msamaha huo kwa wanafunzi


mambo mengine yanachekesha mf.
.jana abiria moja kashuka kagoma kutoa nauli, konda akawa anamdai hela kwa ustaarabu....abiria waliokuwa ndani ya daladala wakamfokea sana konda kwamba kwanini hakumpatia kichapo cha nguvu huyo jamaa

.juzi konda kauliza mara nyinginyingi "kanisa, kanisa nani anashuka,kanisani", abiria mmoja akajibu kwa ghadhabu "acha kutupigia kelele , kanisani kanisani ebo!

.siku nyingine dereva alikuwa akiendesha gari kwa mwendo wa taratibu.....kias kwamba ilituchukuwa two hours kutoka Ubungo kufika tazara....abiria walimponda sana dereva.....eti.....hajui kutafuta hela, hatapata maendeleo, hachangamshi mguu wengine wakamuita zoba nk
"

hivi na ninyi wanaJF huwa mnakutana na haya mambo??
 
Ukimpa konda 10,000/-, usipolazimisha atakaa kimya ili usahau. Vile vile mtu akipanda hatoi nauli mpaka alazimishwe, asipodaiwa kabisa anashuka kimyakimya bila kutoa.
 
Ukimpa konda 10,000/-, usipolazimisha atakaa kimya ili usahau. Vile vile mtu akipanda hatoi nauli mpaka alazimishwe, asipodaiwa kabisa anashuka kimyakimya bila kutoa.


yeah.......wanapenda kweli kubaki na chenji za watu! ila abiria wengine nao wakidaiwa nauli wanasema subiri bila kuwa na sababu ya msingi
 
Hahahahaha....watu wengine maisha hayawaendei vizuri muda wote ni jazba tuu...
Huwa natumia usafiri wa daladala, kuna mambo ambayo huwa yananiletea maswali kama:
1. kwa nini wanaotaka kumkoromea konda au hata abiria wengine huwa wannasema......unajua unaongea na nani?.......usinione nimepanda daladaladala ukadhani sina gari!! wengine hufikia hatua ya kujiita usalama wa taifa n.k

2. kwa nini mtu anapofika kwenye kituo anachotaka kushuka anamuita konda kumuomba amshushe na siyo dereva.......hata kama abiria anayetaka kushuka amekaa siti ya mbele?

3. msamaha wa nauli kwa polisi na wanajeshi, kutotolewa kwa msamaha huo kwa wanafunzi


mambo mengine yanachekesha mf.
.jana abiria moja kashuka kagoma kutoa nauli, konda akawa anamdai hela kwa ustaarabu....abiria waliokuwa ndani ya daladala wakamfokea sana konda kwamba kwanini hakumpatia kichapo cha nguvu huyo jamaa

.juzi konda kauliza mara nyinginyingi "kanisa, kanisa nani anashuka,kanisani", abiria mmoja akajibu kwa ghadhabu "acha kutupigia kelele , kanisani kanisani ebo!

.siku nyingine dereva alikuwa akiendesha gari kwa mwendo wa taratibu.....kias kwamba ilituchukuwa two hours kutoka Ubungo kufika tazara....abiria walimponda sana dereva.....eti.....hajui kutafuta hela, hatapata maendeleo, hachangamshi mguu wengine wakamuita zoba nk
"

hivi na ninyi wanaJF huwa mnakutana na haya mambo??
 
Ha ha ha hiyo ya kubaki na chenji iliwahi nikumba nilimpa konda 10,000 akajikausha mie nikashuka kinondoni muslim wewe ile tu nataka kuingia kona nakumbuka nikarudi nikaisubiri itoke Mwananyamala ikarudi nikaikumbuka sababu nilikuwa na ticket imeandikwa 9850 aliporudi nikamwambia wewe nilikwambia nipe chenji yangu mara mbili ili nisisahau hana la kusema akanirudishia 10,000 maana alikuwa hajapata chenji.

Ila daladala raha bana kuna vituko vya kila aina
 
Kuna watu hao, maalum kuanzisha mijadala safarin. kila stor anaijua vizur na kuchangia! Hanyamaz hata ukijikausha vip?!usiombe ukae nae seat moja atakuzibua sikio, na kuhangaika hangaika km kakalia mbigili.
 
Kuna watu hao, maalum kuanzisha mijadala safarin. kila stor anaijua vizur na kuchangia! Hanyamaz hata ukijikausha vip?!usiombe ukae nae seat moja atakuzibua sikio, na kuhangaika hangaika km kakalia mbigili.

tehtehet...............usipime ikiwa safari ya mbali na gari limejaa lol
 
Ha ha ha hiyo ya kubaki na chenji iliwahi nikumba nilimpa konda 10,000 akajikausha mie nikashuka kinondoni muslim wewe ile tu nataka kuingia kona nakumbuka nikarudi nikaisubiri itoke Mwananyamala ikarudi nikaikumbuka sababu nilikuwa na ticket imeandikwa 9850 aliporudi nikamwambia wewe nilikwambia nipe chenji yangu mara mbili ili nisisahau hana la kusema akanirudishia 10,000 maana alikuwa hajapata chenji.

Ila daladala raha bana kuna vituko vya kila aina

tehtehte.............bahati uliitunza tiketi, ila pia huyo konda alikuwa mwaminifu laa..angeweza kukuruka futi mia
 
Kuna watu hao, maalum kuanzisha mijadala safarin. kila stor anaijua vizur na kuchangia! Hanyamaz hata ukijikausha vip?!usiombe ukae nae seat moja atakuzibua sikio, na kuhangaika hangaika km kakalia mbigili.
ahahahahaaah!! Mtu wa hivyo usikae nae jirani safari za kwenda mkoa...
 
Kuna watu hao, maalum kuanzisha mijadala safarin. kila stor anaijua vizur na kuchangia! Hanyamaz hata ukijikausha vip?!usiombe ukae nae seat moja atakuzibua sikio, na kuhangaika hangaika km kakalia mbigili.

nimecheka mpaka basi...
sasa watu hao,wapo pia maofisini...
unakuta haupo kwenye mood ya story,mtu huyo....hanyamazi...
 
Kuna watu hao, maalum kuanzisha mijadala safarin. kila stor anaijua vizur na kuchangia! Hanyamaz hata ukijikausha vip?!usiombe ukae nae seat moja atakuzibua sikio, na kuhangaika hangaika km kakalia mbigili.
<br />
<br />
WE JANA YALINKUTA HAYO AF MATE YANARUKA KILA MAHALI,NLIKUWA NIMESHAKERANA NA BOSS WANGU OFS AF NKAKUMBANA NA MTHUYO DALADALANI KHAAAAA
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
WE JANA YALINKUTA HAYO AF MATE YANARUKA KILA MAHALI,NLIKUWA NIMESHAKERANA NA BOSS WANGU OFS AF NKAKUMBANA NA MTHUYO DALADALANI KHAAAAA
<br />
<br />
ha ha! Km vile nakuona ulivyokuwa unamkenulie tabasam la uongo, ye ndo bichwa hilo, mara jairo hivi mara masabur namjua, ooh! Shimbo !
 
Back
Top Bottom