Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 846
- 432
Huwa natumia usafiri wa daladala, kuna mambo ambayo huwa yananiletea maswali kama:
1. kwa nini wanaotaka kumkoromea konda au hata abiria wengine huwa wannasema......unajua unaongea na nani?.......usinione nimepanda daladaladala ukadhani sina gari!! wengine hufikia hatua ya kujiita usalama wa taifa n.k
2. kwa nini mtu anapofika kwenye kituo anachotaka kushuka anamuita konda kumuomba amshushe na siyo dereva.......hata kama abiria anayetaka kushuka amekaa siti ya mbele?
3. msamaha wa nauli kwa polisi na wanajeshi, kutotolewa kwa msamaha huo kwa wanafunzi
mambo mengine yanachekesha mf.
.jana abiria moja kashuka kagoma kutoa nauli, konda akawa anamdai hela kwa ustaarabu....abiria waliokuwa ndani ya daladala wakamfokea sana konda kwamba kwanini hakumpatia kichapo cha nguvu huyo jamaa
.juzi konda kauliza mara nyinginyingi "kanisa, kanisa nani anashuka,kanisani", abiria mmoja akajibu kwa ghadhabu "acha kutupigia kelele , kanisani kanisani ebo!
.siku nyingine dereva alikuwa akiendesha gari kwa mwendo wa taratibu.....kias kwamba ilituchukuwa two hours kutoka Ubungo kufika tazara....abiria walimponda sana dereva.....eti.....hajui kutafuta hela, hatapata maendeleo, hachangamshi mguu wengine wakamuita zoba nk
"
hivi na ninyi wanaJF huwa mnakutana na haya mambo??
1. kwa nini wanaotaka kumkoromea konda au hata abiria wengine huwa wannasema......unajua unaongea na nani?.......usinione nimepanda daladaladala ukadhani sina gari!! wengine hufikia hatua ya kujiita usalama wa taifa n.k
2. kwa nini mtu anapofika kwenye kituo anachotaka kushuka anamuita konda kumuomba amshushe na siyo dereva.......hata kama abiria anayetaka kushuka amekaa siti ya mbele?
3. msamaha wa nauli kwa polisi na wanajeshi, kutotolewa kwa msamaha huo kwa wanafunzi
mambo mengine yanachekesha mf.
.jana abiria moja kashuka kagoma kutoa nauli, konda akawa anamdai hela kwa ustaarabu....abiria waliokuwa ndani ya daladala wakamfokea sana konda kwamba kwanini hakumpatia kichapo cha nguvu huyo jamaa
.juzi konda kauliza mara nyinginyingi "kanisa, kanisa nani anashuka,kanisani", abiria mmoja akajibu kwa ghadhabu "acha kutupigia kelele , kanisani kanisani ebo!
.siku nyingine dereva alikuwa akiendesha gari kwa mwendo wa taratibu.....kias kwamba ilituchukuwa two hours kutoka Ubungo kufika tazara....abiria walimponda sana dereva.....eti.....hajui kutafuta hela, hatapata maendeleo, hachangamshi mguu wengine wakamuita zoba nk
"
hivi na ninyi wanaJF huwa mnakutana na haya mambo??