Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,480
- 9,241
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Pau Makonda ametoa ruksa wanafunzi wanne kusimama kwenye chombo kimoja cha usafiri.
Akihojiwa na kituo cha ITV, RC Makonda amesema:
“Nimeelekeza watu wote wa daladala kuhakikisha wanabeba wanafunzi wasiopungua wanne (4). Kama ni level seat kwa maelekezo tuliyowapatia, wazingatie level seat. Lakini inapokuja point ya wanafunzi, hawana sababu ya kumuacha kwasababu hana pesa ya kulipa kama mtu mzima, kwa maana ya kukaa kwenye kiti.”
“Wanafunzi wanne wakisimama ndani ya daladala hakuna dhambi yoyote ile. Kwahiyo, trafiki muliopo barabarani mukikuta gari limebeba wanafunzi wamesimama wanne kwenye daladala moja, msilikamate. Lakini ukikuta amebeba abiria akasimamisha, huyo ni halali yake kwasababu bado haijatenguliwa masharti ya kuondoka kwa level seat ila pale tu wanafunzi wanapohitaji kupanda usafiri huo ili waweze kuwahi shule na kuendelea na masomo.”
Akihojiwa na kituo cha ITV, RC Makonda amesema:
“Nimeelekeza watu wote wa daladala kuhakikisha wanabeba wanafunzi wasiopungua wanne (4). Kama ni level seat kwa maelekezo tuliyowapatia, wazingatie level seat. Lakini inapokuja point ya wanafunzi, hawana sababu ya kumuacha kwasababu hana pesa ya kulipa kama mtu mzima, kwa maana ya kukaa kwenye kiti.”
“Wanafunzi wanne wakisimama ndani ya daladala hakuna dhambi yoyote ile. Kwahiyo, trafiki muliopo barabarani mukikuta gari limebeba wanafunzi wamesimama wanne kwenye daladala moja, msilikamate. Lakini ukikuta amebeba abiria akasimamisha, huyo ni halali yake kwasababu bado haijatenguliwa masharti ya kuondoka kwa level seat ila pale tu wanafunzi wanapohitaji kupanda usafiri huo ili waweze kuwahi shule na kuendelea na masomo.”