johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,857
Mabasi mengi ya daladala yanayofanya kazi kati ya Makumbusho, Bunju, Tegeta na Mbweni yamekodiwa na CHADEMA kubeba wanachama wake na yanapeperusha bendera za CHADEMA.
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini DSM maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Nauliza tu bwashee Mmawia, Salary Slip na tindo leo mna shughuli gani jijini DSM maana kama ni kampeni nadhani mlishazindua jana kule Mbagala.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!