Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Moja ya kero kuu katika barabara za Dar ni uendeshaji na uegeshaji holela wa madaladala hivyo kusababisha msongamano hata sehemu zisizokuwa na magari mengi.Je uamuzi wa waziri Nundu kuwastopisha wale majembe ni sahihi kweli?maana jamaa walikuwa serious na daldala bila adhabu nene hawaishi vurugu...kila jema linazuiwa,kwa maslahi ya nani? Maana hata majuzi JP magufuli naye kapigwa stop kiaina.