Mnyamahodzo JF-Expert Member May 23, 2008 1,932 985 Nov 23, 2012 #1 Askari wanasimamia ushukaji wa abiria na upandaji wake. yote kwa foleni. Toka mbali waweza kuona urefu wa msululu wa abiria. Hii ilikuwa 22 Novemba 2012 pale Muhimbili baada ya kutoka kuona wagonjwa jioni. Picha: Ni kwa hisani ya rafiki yangu, nasema asante sana.
Askari wanasimamia ushukaji wa abiria na upandaji wake. yote kwa foleni. Toka mbali waweza kuona urefu wa msululu wa abiria. Hii ilikuwa 22 Novemba 2012 pale Muhimbili baada ya kutoka kuona wagonjwa jioni. Picha: Ni kwa hisani ya rafiki yangu, nasema asante sana.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,140 13,215 Nov 23, 2012 #2 kwa kweli ni ustarabu wa hali ya juu, niliikuta SA hii, hakuna shobo kabisa
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Nov 23, 2012 #3 E bana eee, hivi tuite maendeleo ama!!'?
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Nov 23, 2012 #4 Jamani ustaarabu kama huo mpaka tufundishwe na askari juu