Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,312
- 6,770
Jijini Dar es salaam siku hizi daladala nyingi zimechomewa nondo(au bomba za chuma) madirishani kwa ndani, yaani kuanzia nyuma ya gari hadi mbele inakwa mistari miwili au mitatu inawekwa kila upande. Na nimejaribu kudodosa naambiwa eti ni kuzuia abiria wasiegemee vioo vya madirisha eti huwa wanavivunja!
Hivi jamani, haya magari kweli yanaruhusiwa kubeba abiria yakiwa na hali ile, ki usalama inakuwaje?, gari ikipata ajali yale ma-vyuma si yatakuwa ndiyo "kichinjio" kikuu cha kuua abiria??
Sheria za usalama barabarani inaruhusa kweli hali hii? au tunasubiri moto uje uwake kwenye daladala na abiria waungue wote ndiyo mamlaka zinazo husika zije zizuie hatari hii??
Hivi jamani, haya magari kweli yanaruhusiwa kubeba abiria yakiwa na hali ile, ki usalama inakuwaje?, gari ikipata ajali yale ma-vyuma si yatakuwa ndiyo "kichinjio" kikuu cha kuua abiria??
Sheria za usalama barabarani inaruhusa kweli hali hii? au tunasubiri moto uje uwake kwenye daladala na abiria waungue wote ndiyo mamlaka zinazo husika zije zizuie hatari hii??