Daktariii.....

Moo Click

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
3,496
3,232
_*Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kwenye Hospitali ya Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na njia ya kupita, akapiga magoti na kusema sala ya mwisho.Yule mgonjwa akamkaribia kabisa na kumwambia....Ni zamu yako sasa... Nikimbize..*
 
_*Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kwenye Hospitali ya Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali ambapo hakukuwa na njia ya kupita, akapiga magoti na kusema sala ya mwisho.Yule mgonjwa akamkaribia kabisa na kumwambia....Ni zamu yako sasa... Nikimbize..*
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom