#COVID19 Daktari - Zanzibar: Nilihisi uchofu kidogo baada ya kupata chanjo, hiyo ni kawaida

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,001
9,866
Daktari bingwa wa Pua, Koo na Masikio katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Zazibar, Masoud Hakim Bakari amesema baada ya kupata chanjo ambayo imeanza kutolewa kwa watumishi wa Afya Zanzibar alipata uchovu kidogo kwa siku hiyo.

Hata hivcyo amesema ni jambo la kawaida kwa mwili kuwa na ‘reactions’ fulani wakati wa kupokea chanjo yoyote. Hivyo ametoa wito kwa watu kujitokeza kupata chanjo hiyo ambayo itapunguza hatari ya maambukizi.

Zanzibar inatoa chanjo ya Sinovac kutoka China kwa watumishi wa afya ambao wako hatarini zaidi katika kupata maambukizi ya #COVID19.


BBC Swahili
 
Side effects ya hizo dawa sio leo au kesho ni baada ya miaka 5 hadi 15, kwahiyo wazee wa miaka 55 na kuendelea huenda wa sione hayo madhara ila vijana na watoto, wakapata madhara badaye wakiwa wazee, huwezi kutegeneza chanjo ndani ya miazi sita wakati majaribio wa chanjo yoyote inahitaji mda usiopungua miaka 5.
 
Back
Top Bottom