Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,697
- 36,090
Kumbe mashine yenyewe inauzwa kwa pesa ya dagaa Mwanza tu.
Wangemsamehe tu
Wangemsamehe tu
Sikuwahi kujua kwenye fani ya udaktari wa binadamu kuna kada ya usingizi!!!!
kumbuka kuna hata CO wamesoma Anaesthesia so usiconfirm kwa kusema atakua nurse AnesthetistSidhani kama aliyekamatwa ni daktari bingwa wa usingizi, kuna vitu tunachanganya. Huyo bila shaka ni ‘Muuguzi wa kutoa dawa za Usingizi’ au Nurse anaesthetist.
Ni nadra kumkuta Anesthesiologist mikoani.
Sisi wagonjwa tukienda Hospitalini kila tunayemwona amevaa mavazi ya Hospitalini tunajua ni Daktari, nao Polisi ni kama sisiHuyo daktari wa miaka 30, tena ni bingwa!
Huyo ni nurse tu, sema tu polisi hawawajui madaktari
Najua. Ila CO sio daktari. Hoja yangu tunachanganya ‘Daktari bingwa wa usingizi’ na ‘Paramedics in Anaesthesia’kumbuka kuna hata CO wamesoma Anaesthesia so usiconfirm kwa kusema atakua nurse Anesthetist
Hata Dar es salaam, Arusha, mbeya ,Dodoma na Mwanza ni mikoani. Kwa kawaida mikoa nje ya Dar es salaam ndio huitwa mikoani. Kwa maana Dar ndio centre of all activities in Tanzaniadodoma,arusha,dsm,mbeya na mwanza huwezi kusema mkoani lazima useme jijini
Yule ni CO,hakuwa daktari. Wananchi wengi hawajui kutofautisha kada katika afya.Ukiondoa polisi kwa kuendekeza njaa wanofuatia ni madaktari.
Hawa nao njaa kali sana, hawatosheki na mishahara yao kuendesha maisha.
Wengi wanaendesha maisha kwa pesa ya damu.
Kuna yule wa Tanga aliyefumua mishono ya mgonjwa baada ya mgonjwa kushindwa kumpatia rushwa.
Sasa sisi tusio na kazi huku mtaani tumeingiaje hapo maisha yatunyanyase na wewe pia???Ukisikia elimu kutomsaidia mtu ndio huku sasa,
Dactari mzima unajiingiza katika wizi wa kifaa cha 7M, tena ambacho utauza kwa si zaidi ya 4M, maana huwezi toa 7M kwa mashine ya Wizi na chakavu ikiwa bei hio hio unapata Mpya na Halali.
Wote damu changa, tamaa za kizembe kama za baadhi ya vijana wasio na kazi mtaani,
Lugha tu imerahisishwa mkuuSikuwahi kujua kwenye fani ya udaktari wa binadamu kuna kada ya usingizi!!!!