Bebz
Member
- Dec 12, 2011
- 80
- 12
Habari wandugu.
Ninaomba msaada wa kujua wapi ntapata Daktari wa ngozi kwa Dar. Ngozi yangu imekua inaharibika hasa usoni natoka na mapele chunusi si chunusi. Nimejaribu dawa mbalimbali lakini hazijasaidia. Kwa sasa natumia Elocom ambayo nilipata phamacy but still ngozi inaharika. My skin in Oily and sensitive.
Please advice me which doctor is good na ambaye ntaweza kumwona.
Asanteni in advance
Ninaomba msaada wa kujua wapi ntapata Daktari wa ngozi kwa Dar. Ngozi yangu imekua inaharibika hasa usoni natoka na mapele chunusi si chunusi. Nimejaribu dawa mbalimbali lakini hazijasaidia. Kwa sasa natumia Elocom ambayo nilipata phamacy but still ngozi inaharika. My skin in Oily and sensitive.
Please advice me which doctor is good na ambaye ntaweza kumwona.
Asanteni in advance