Daktari wa fiziotherapia

Unatibu leg length discrepancy?
Leg length discrepancy huwa unarekbishwa kwa viatu maalam . ambayo vinachogwa baada ya kufanyiwa assesment nakujua chanzo, na tofauti ya urefu huo

kuna mtaalam wa kuchonga kifaa maalam ambacho kinatumika kurekebisha huo utofauti.

wasiliana nami 0718 22 48 40 nikupatie huduma hyo
 
Dr mie nikikunja vidole vya mikono vinaniuma sana na havijikunji mpaka mwisho
ulishawahi kuwa na tatizo lolote kwenye huo mkono?

ganzi?
kuvunjika?
maumivu ya shingo?
rheumatoid athritis?


maaana athari kama hizo hapo juu huweza kupelekea ukakamavu wa vidole na vidole kukosa nguvu ya kukunja hadi mwisho.
 
nashukuru. Lengo ni kukuza ufahamu wa waTanzania kuhusiana na matatizo ya viungo vya mwili na mchango wa wataalam wa Fiziotherapia katika kutibu matatizo hayo.

swala la consultation ni muhimu sana. na ningependa kila mtu athamini kuonana na daktari maana sio mambo yote yanaweza fanyika online.

online ni kuuza ufahamu juu ya tatizo lako la kiafya linalokusumbua na kukusogeza karibu na huduma husika.

Hivyo basi nafasi hii tuitumie vyema na iwe mwanga kuwatafuta wataalam husika(Fiziotherapia) kwa ajili ya matibabu zaidi.

nashukru
A good idea. Doctors are just in hands nowadays not necessarily to have consultations in hospitals. Well done
 
nashukuru. Lengo ni kukuza ufahamu wa waTanzania kuhusiana na matatizo ya viungo vya mwili na mchango wa wataalam wa Fiziotherapia katika kutibu matatizo hayo.

swala la consultation ni muhimu sana. na ningependa kila mtu athamini kuonana na daktari maana sio mambo yote yanaweza fanyika online.

online ni kuuza ufahamu juu ya tatizo lako la kiafya linalokusumbua na kukusogeza karibu na huduma husika.

Hivyo basi nafasi hii tuitumie vyema na iwe mwanga kuwatafuta wataalam husika(Fiziotherapia) kwa ajili ya matibabu zaidi.

nashukru
Kabisa Mkuu nakubaliana na wewe kabsaa
 
Leg length discrepancy huwa unarekbishwa kwa viatu maalam . ambayo vinachogwa baada ya kufanyiwa assesment nakujua chanzo, na tofauti ya urefu huo

kuna mtaalam wa kuchonga kifaa maalam ambacho kinatumika kurekebisha huo utofauti.

wasiliana nami 0718 22 48 40 nikupatie huduma hyo
Sio structural niliambiwa inatokana na overuse ya upande mmoja na Bad posture
 
Sidhani. Nikikaa na tabia ya kuegemea upande mmoja, na misuli iko stiff upande mmoja zaidi ya upande mwingine. Pia kuna historia ya maumivu ya lower back ambayo, diagnosis ni disc bulge.
ok. tatizo la disc bulge lawezekana kusababisha misuli kukaza upande mmoja kutokana na mwili kujirekebisha ili kukwepa maumivu.

Uligunduliwa kama una tatizo la disc bulge baada ya kufanya kipimo cha x ray? au MRI?

nataka nifahamu kwenye vipimo hivyo mgongo haukuonekana umepinda ?

maana kupendelea upande mmoja kuna weza kusababisha mgongo kupinda (scoliosis) au sacroiliac joint problem.matatizo haya yanaweza kupelekea structural difference ya uwiano wa miguu
 
ok. tatizo la disc bulge lawezekana kusababisha misuli kukaza upande mmoja kutokana na mwili kujirekebisha ili kukwepa maumivu.

Uligunduliwa kama una tatizo la disc bulge baada ya kufanya kipimo cha x ray? au MRI?

nataka nifahamu kwenye vipimo hivyo mgongo haukuonekana umepinda ?

maana kupendelea upande mmoja kuna weza kusababisha mgongo kupinda (scoliosis) au sacroiliac joint problem.matatizo haya yanaweza kupelekea structural difference ya uwiano wa miguu

MRI. X ray haikuona Shida japo zilipishana kwa muda mrefu kidogo.

Mgongo kupinda hapana. Test ya discrepancy ya miguu nilipofanya ni kutembea kawaida under observation nikaonekana upande mmoja unafanya kazi zaidi kutokana na misalignment ya pelvis.
 
ulishawahi kuwa na tatizo lolote kwenye huo mkono?

ganzi?
kuvunjika?
maumivu ya shingo?
rheumatoid athritis?


maaana athari kama hizo hapo juu huweza kupelekea ukakamavu wa vidole na vidole kukosa nguvu ya kukunja hadi mwisho.
Dr Sijawahi kuwa na tatizo lolote wala sijawahi kuvunjika,
DR hili tatizo lipo kwenye mikono yangu yote,tangu linianze lina miez 3 vidole havijikunji mpaka mwisho,kuna mda vidole vinakuwa na ganzi
 
ulishawahi kuwa na tatizo lolote kwenye huo mkono?

ganzi?
kuvunjika?
maumivu ya shingo?
rheumatoid athritis?


maaana athari kama hizo hapo juu huweza kupelekea ukakamavu wa vidole na vidole kukosa nguvu ya kukunja hadi mwisho.
Dr sijawahi kuvunjika,wala hiii rheumatoid athritis sijawahi kuwa nayo
Sina maumivu yoyote ya shingo

Ni vidole vya mikono yote havikunjiki mpaka mwisho na vinauma,hasa nikilala nikiamka iwe mchana au usiku vinauma tuu
 
tafadhari naomba unitumie short video ya dakika moja. nione unavyokunja mkono au vidole. tuma kupitia namba hii 0718 22 48 40
Dr sijawahi kuvunjika,wala hiii rheumatoid athritis sijawahi kuwa nayo
Sina maumivu yoyote ya shingo

Ni vidole vya mikono yote havikunjiki mpaka mwisho na vinauma,hasa nikilala nikiamka iwe mchana au usiku vinauma tuu
 
je, una maumivu ya viungo??
mgongo,shingo,bega,kiuno,nyonga,magoti,miguukuwaka moto,ganzi mikononi na miguuni????

Niulize swali nikupatie ufumbuzi wa tatizo lako .View attachment 1103596
Mimi Nina tatizo la mgongo na miguu kuchemka ni mda mrefu sasa . Nimeshatumia vitamins B complex na hazikunisaidia baadae nkatupewa lyrica nazo hazijanisaidia. Ila nilishapima mara kadha ukimwi nkaoneka Aina, nimepima BP ipo normal, nimepima kisukari nkaonekana sina, nmetumia dawa za arthritis hazijanisaidia . Ebu nipe ushauri Dr. Sometimes mwili mzima upo umechemka but nikipima temperature ipo normal ranges
 
Mimi Nina tatizo la mgongo na miguu kuchemka ni mda mrefu sasa . Nimeshatumia vitamins B complex na hazikunisaidia baadae nkatupewa lyrica nazo hazijanisaidia. Ila nilishapima mara kadha ukimwi nkaoneka Aina, nimepima BP ipo normal, nimepima kisukari nkaonekana sina, nmetumia dawa za arthritis hazijanisaidia . Ebu nipe ushauri Dr. Sometimes mwili mzima upo umechemka but nikipima temperature ipo normal ranges
kuchemka miguu unamaanisha miguu kuwaka moto?
 
je, una maumivu ya viungo??
mgongo,shingo,bega,kiuno,nyonga,magoti,miguukuwaka moto,ganzi mikononi na miguuni????

Niulize swali nikupatie ufumbuzi wa tatizo lako .View attachment 1103596
Kama nilivyokuambia hapo juu magonjwa mengi including ukimwi, BP , kisukari sina sasa hapo. Umri Nina miaka 30 kwa sasa . Tatizo hili ni miaka kama minne sasa. Ila kuna kipindi lilituliaga baada ya kutumia vitamins. Lakini lilirejea tena baada ya mda mfupi
 
Kama nilivyokuambia hapo juu magonjwa mengi including ukimwi, BP , kisukari sina sasa hapo. Umri Nina miaka 30 kwa sasa . Tatizo hili ni miaka kama minne sasa. Ila kuna kipindi lilituliaga baada ya kutumia vitamins. Lakini lilirejea tena baada ya mda mfupi
ulitumiaga aina gani ya vitamins?
 
Yaa miguu kuwaka moto hasa na mgongoni pia . Baadae inakuwa mwili mzima. Age npo bado 30 years
kwa matatizo ya mgongo na miguu kuwaka moto. mara nyingi ukifanya kipimo cha MRI ya mgongo unaweza kugundua athari ambayo imetokea kwenye mgongo na kuleta dalili hizo.

hivyo basi nakushauri uonane na Daktari bingwa wa mifupa (orthopedic) au daktari bingwa wa mishipa ya fahamu (neurologist) wakuchunguze na wakuandikie ukafanye kipimo hicho cha MRI.

ni Vema kuanza na Madaktaru hao natumai tatizo lako litapatiwa ufumbuzi.
 
Back
Top Bottom