Daktari Pekee wa upasuaji wa watoto wachanga Muhimbili aondoka

CHADEMA wakichujua nchi 2015, wataalamu wengi watarudi nchini kujenga upya uchumi wetu. MUNGU YUPO NASI.

Nakubaliana nawewe mkuu. Na hapo ndipo tuakapodeclare uhuru wa kweli wa Tanganyika.
 
Yule mama wa tumaini amestaafu mwaka huu, kwa ss mnh haina daktari bingwa wa upasuaji wa watoto. Liwalo na liwe!
 
nchi ya maangamizi hii, waziri alisema hana haja na madaktari bingwa
wengine wanasema waliopo wanatosha lakini wao wanatibiw India.
we have to do something kwa kweli
 
Mjifunze kuomba sasa, unajua mapigo yote tunayopata ni kwamba tunahitaji kumrudia Mungu. Ombeni bila kukoma muone kama kuna mtu ataugua na kwenda huko hospitali.
 
Tatizo la ma dr sio maslahi wala mazingira magumu ya kazi bali ni kauli mbovu na vitisho vya serikali ndio vina sababisha yanayotokea sasa kauli zingekuwa za busara na encouragement wange vumilia
 
Bravo Dr. Mng'ong'o! JK na Mwinyi watakula jeuri yao


Mkuu embu Fanya editing ya Iyo comment yako APo juu, mwinyi na JK watakula jeuri Yao au vifo vya watoto wa wakulima vitaongezeka? Mwinyi, JK au familia zao zita adhirika vipi wakati wanatibiwa apolo? Shabikia vitu vyenye msingi sio kila kitu bravoooo utasema bravoo ata kwenye taarifa za msiba wako mwenyewe pfuuuu
 
Kama kuna muhusika anasoma thread hii anisikilize kwa makini, Namfahamu vyema Dr Catherine Mng'ong'o alimfanyia oparesheni mtoto wangu.

Sasa nawashauri Serikali kuna daktari wenu huku mtaani anaitwa Dr Kabote mlimdisco KCMC wakati anachukuwa mafunzo yake ili awe daktari Bingwa wa huo upasuaji weni, mimi si mtaalamu wa hayo majina.

Dr Kabote mkamfukuza kazi na kodi zetu tulizomsomesha zimegeuka useless, yuko mtaani anakunywa pombe tu 24/7. pls namfamu huyu Dr Kabote kweli ni mlevi lakini pls hebu mrudisheni huyu mtu afanye kazi, kwani nilimjuwa Dr Catherine kupitia Dr Kabote na Dr Catherine akasema Kabote ni sinior sana kwake kwenye hayo mambo ya upasuaji, na ilibidi Dr Kabote ndio aanze kuwa Daktari Bingwa kabla ya Catherine.

Pls nyinyi serikali dhaifu hebu njooni mumtowe huyu Dr huku mtaani analewa tu wakati tumemsomesha kwa gharama kubwa sana.
 
I will never Forget Dr Catherine Mng'ong'o.

DR%20MNG%60ONG%60O.png
 
Mungu atuongoze watanzania maana tuko pabaya sana na hawa wanasiasa
BABA AMANI sitaki kukuvunja moyo, lakini Mungu humsaidia asiyejisadia, lakini WaTZ hatujui kujisaidia kwengine zaidi ya kwende haja kubwa na ndogo; na hata hivyo ikiwa tutaendelea kula ugali bila mboga na mapande ya mihogo Mungu hatawasaidia hata kwa hilo. Capisci quello che dico? (= Do you understand what I say?).
 
Nakubaliana nawewe mkuu. Na hapo ndipo tuakapodeclare uhuru wa kweli wa Tanganyika.

Mnayosema yanaweza kuwa ni kweli wakuu..lakini hebu jiulize hivi CHADEMA isipoweza kushika hatamu ya uongozi mwaka 2015(either ki uhalali yaani kwa kushindwa au kwa hila ambazo tumezizoea na nyingine zitazokuja) tutaendelea kusubiri tena hadi mwaka 2020?!

Nadhani ile subira inapaswa kuwa na mwishoo, sisemi ili kuchochea fujo/ushabiki lakini watanzania wengi hata tunapoonewa kwa dhuluma, matusi ,kejeli na watu wale wale tuliowaweka madarakani, tunajifariji "ngoja hatamu yako ya uongozi itapokwisha utaona?" lakini jiulize:

-Hivi pamoja na matatizo yote haya bado unaweza kuvumilia kwa kujifariji na kauli kama hiyo?
-What if usipofika hata huo mwaka 2015(ingawa una nia na mipango mizuri?? Kwanini usianze kuitekeleza sasa?
-Ni viongozi wangapi wabadhirifu wamemaliza hatamu zao za uongozi na wengine kustaafu na kuendelea kulipwa
mishahara pamoja na ubadhirifu walioufanya?? What difference will it be there kwa viongozi wanaoendeleza nyayo zao
kwa kufanya ubadhirifu huo huo, pengine na zaidi, nasi bado tunajifariji hivyo??

Nadhani tuliwaweka madarakani wenyewe na tunaweza kuwatoa wenyewe!! Katika nchi nyinngine mambo yatokeayo hapanchini yakitokea kwao, Viongozi huondoka(either kwa kujiuzulu wenyewe mapema) na kushtakiwa, ama kwa kutolewa kama wakileta uzembe...lakini bado najivunia nchi yangu hii kwa kuwa watu wake ni wapole, wakarimu na wenye uelewa wa hali ya juu kwamba walioko madarakani wanashida zaidi yetu,na hivyo tuwavumilie watatue shida zao tu hata kama ni kwa kutunyonya na iko siku wataacha tu mara baada ya shida zao kwisha.
 
CHADEMA wakichujua nchi 2015, wataalamu wengi watarudi nchini kujenga upya uchumi wetu. MUNGU YUPO NASI.

Nadhani ile subira inapaswa kuwa na mwisho, sisemi ili kuchochea fujo/ushabiki lakini watanzania wengi hata tunapoonewa kwa dhuluma, matusi ,kejeli na watu wale wale tuliowaweka madarakani, tunajifariji "ngoja hatamu yako ya uongozi itapokwisha utaona?" lakini jiulize:

-Hivi pamoja na matatizo yote haya bado unaweza kuvumilia kwa kujifariji na kauli kama hiyo?

-What if usipofika hata huo mwaka 2015(ingawa una nia na mipango mizuri? Kwanini usianze kuitekeleza sasa?

-Ni viongozi wangapi wabadhirifu wamemaliza hatamu zao za uongozi na wengine kustaafu na kuendelea kulipwa mishahara pamoja na ubadhirifu walioufanya? What difference will it be there kwa viongozi wanaoendeleza nyayo zao kwa kufanya ubadhirifu huo huo, pengine na zaidi, nasi bado tunajifariji hivyo?

Nadhani tuliwaweka madarakani wenyewe na tunaweza kuwatoa wenyewe!! Katika nchi nyinngine mambo yatokeayo hapanchini yakitokea kwao, Viongozi huondoka(either kwa kujiuzulu wenyewe mapema) na kushtakiwa, ama kwa kutolewa kama wakileta uzembe.

Lakini bado najivunia nchi yangu hii kwa kuwa watu wake ni wapole, wakarimu na wenye uelewa wa hali ya juu kwamba walioko madarakani wanashida zaidi yetu,na hivyo tuwavumilie watatue shida zao tu hata kama ni kwa kutunyonya na iko siku wataacha tu mara baada ya shida zao kwisha.
 
Amefanya vizuri kuondoka. Ni afadhali aondoke wabaki watu wenye wito na moyo kuliko kubaki kunyanyasa wananchi wenye matatizo.

Kuondoka kwake kutaisaidia serikali kupeleka wasomi zaidi wakasomee hiyo area yake kama ni kweli yupo peke yake.

Ila kwa Tanzania ya leo hatuna eneo ambao tuna mtaalam mmoja.
 
Kama kuna muhusika anasoma thread hii anisikilize kwa makini, Namfahamu vyema Dr Catherine Mng'ong'o alimfanyia oparesheni mtoto wangu.

Sasa nawashauri Serikali kuna daktari wenu huku mtaani anaitwa Dr Kabote mlimdisco KCMC wakati anachukuwa mafunzo yake ili awe daktari Bingwa wa huo upasuaji weni, mimi si mtaalamu wa hayo majina.

Dr Kabote mkamfukuza kazi na kodi zetu tulizomsomesha zimegeuka useless, yuko mtaani anakunywa pombe tu 24/7. pls namfamu huyu Dr Kabote kweli ni mlevi lakini pls hebu mrudisheni huyu mtu afanye kazi, kwani nilimjuwa Dr Catherine kupitia Dr Kabote na Dr Catherine akasema Kabote ni sinior sana kwake kwenye hayo mambo ya upasuaji, na ilibidi Dr Kabote ndio aanze kuwa Daktari Bingwa kabla ya Catherine.

Pls nyinyi serikali dhaifu hebu njooni mumtowe huyu Dr huku mtaani analewa tu wakati tumemsomesha kwa gharama kubwa sana.

Unataka mwanao atibiwe na daktari ambaye amefeli ame disco chuoni?
 
Mleta mada tutake radhi watu wa kaskazini.KUJA HUKU PIA NI UKOMBOZI WETU.'urais kaskzn hawaupati' Mbona mtoka kaskazini anaonekana adui wakti ndo 2po mbele kimaendeleo?.NAELEKEA KUIUNGA MKONO KAULI YA NASSARY
 
Back
Top Bottom