Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,663
Mungu hashindwi kukufanya ww uishi raha mustarehe shida uziskie tu kwa watu ila mwenyezi anafanya mambo kwa utashi wke hapangiwi km manabii wke ilikuwa inawakuta misukosuko mm na ww akina nani anaweza kukupa mtihani wa maradhi na yy mwenyewe akakuondoshea anaweza kupa mtihani wa kutopata mtoto kwa muda autakao yy ukapata mtoto so chunga sana ulimi wko bro!Kwanini alimwacha akapata hilo tatizo wakati alikua na uwezo wakulizuia?
Mimi naona mnampa sifa za bure tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app