Daktari Bingwa wa wanawake!

Maxence Melo

JF Founder
Feb 10, 2006
4,196
13,187
This' not a joke. This' real buddies. Imetokea kweli na ipo kwenye gazeti la "The Bongo Sun" la leo.

Cheki picha hapa chini:

Aaah%20Doktaaa.JPG
 
afu mgonjwa alikuwa ndo master planner sababu wamejitahidi kumficha uso wake. Huwezi jua labda likuwa analipia gharamza za matibabu...!!
 
Kilimpeleka nini guest, siangetumia kitanda cha ofisini kwake!
 
Worm weka data zaidi basi mkuu,

Huyu daktari inaonekana ni huyu mwanaume,(mfumo dume)
Lakini hatujaambiwa daktari wa fani gani, anaweza kuwa kama dk remmy, dk maji marefu n.k
 
Stupid journalism, there are much more important needed to be told, not this crap!
 
Matukio ya wauguzi na madaktari kufanya vitendo hivi ni ya kawaida kila siku yanatokea tatizo wake zenu hawayaelezi kila wanapofanyiwa vitendo hivi. Kama huamini jaribu siku moja kumchunguza mkeo ukiona mara kwa mara hupendelea kwenda hospital fulani lakini ukitaka kwenda naye anaikandia ile hospital basi ujue kuna walakini juu yake na daktari wenu. Mbona yapo hayo? Usishangae kabisaaaaaaaa.
 
aaa hiyo mbona ndo tabia yao hao madoctor tena nasikia msichana/mwanamke anapotakiwa kufanyiwa operation wakishamdunga ile misindano ya usingizi akishalala hua wanawabaka wanavyotaka na baada ya kumaliza mchezo wao mchafu ndo mambo mengine yanaendelea na mfano hai ninao wa dr moja jina kapuni wa hospitali kubwa ja jiji hili.....
 
Inawezekana hiyo dawa aliomwandikia ilikuwa lazima 'ainywe' kwa njia hiyo. Ni vema kujua kama hilo nalo lingeangaliwa tupate cheti cha dawa kinasemaje.
 
Mnachezew akili na magazeti ya udaku, hiyo ni game hao wanaigiza tu ili kuuza gazeti.

Ukiitafiti vizuri hiyo picture na body language ya hao "waliofumaniwa" haikupi kuwa hilo ni tendo la kweli bali ni mchezo wa kuigiza tu.

Umefika wakati haya magazeti yakamulikwa maana this is too much now, hizi njaa nyingine zinaleta mmomonyoko wa kimaadili.
 
Mwaka 1992 nikiwa kambi ya jeshi pale nyumbani Mafinga kuna kuruta mwenzangu alipata matatizo ya tumbo ikabidi aende katika hospital ya jeshi, akaambiwa na daktari inambidi apimwe wacheki anatatizo gani, sisi wenzake tulikuwa katika kazi za kilimo pale Dubliganga kwa wale wanaokufahamu jioni tuliporudi tulipata taarifa za kusikitisha toka kwa yule rafiki yetu, alitueleza kwamba alibakwa na daktari na kwakuwa hapakuwa na sheria kali kuhakikisha vitendo hivi vinakoma kabisa na zilivyo adha za JKT kama wengi mnavyofahamu haikuwezekana kufanya chochote hadi leo. Kwa hiyo si jambo geni kwa hawa Madaktari kufanya hivyo yatubidi kukemea mambo haya.
 
Hiyo kitu haihitaji uwe genius kustukia kuwa ni "bosheni," ....suala zima hapo lipo staged, hii ni aibu na ni prove nyingine kwamba kweli maisha bongo ni magumu kwani watu sasa wanatumia desperate and extreme means za kupata hiyo shillingi!!!!. kaaaazi kweli.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom