Dakika chache kabla ndege haijaanguka unadhani abiria huwa katika hali gani?

Hayo yote apo juu yanaweza yasitokee hata kidogo. Nulikutana na situation 1 mwaka 2014 nikitokea Abu Dhabi kwenda Bangkok (sitotaja jina la shirika la ndege) na ilikuwa usiku kama saa 8. Tulikuwa tumeshavuka kipande cha 1 cha Indian Ocean/Arabian Sea, tumeshavuka India/Hyderabad na sasa tumeanza kipande cha 2 cha Indian Ocean hili tuvuke kwenda Thailand mara ghafla ndege ikaanza kushuka wakati ikitembea pia na ikaendelea kushuka kwa kasi kubwa lkn ikisonga mbele pia.

Abiria kwa bahati mbaya tulikuwa tumetangaziwa tufungue mikanda kitambo so almost psgs wengi walikuwa wamefungua mikanda na kilichotokea ni kwamba psgs ambao hawakufunga mikanda nikiwemo mimi tulibaki kama tunaelea hewani kwa sababu nakumbuka nilikuwa nasikia gap kati ya makalio na seat na hii ilitokea almost kwa psgs wote ambao walikuwa hawajafunga mikanda.

Ndege ikashuka toka around 38,000ft mpaka 19,000ft kwa mda mfupi sana then ghafla ikaanza kupanda juu. Cha hajabu kwa mda huo mfupi hatukusikia sauti ya cabin crew yeyote zaidi ya kelele kidogo tu za psgs na mimi nilikuwa nashangaa tu kwa sababu nilianza kutetemeka baada ya incidence kuisha.

Baadaye rubani akaomba radhi kwamba tulipita kwenye eneo lililokuwa na VACUUM na uwa inatokea once in a while so ndege ikakosa support ( infact alitumua lugha zao sijuhi aerofoil na maneno mengine I was no longer interested nilikuwa natetemeka tu).

So that day nikagundua kwamba kumbe kufa ni very simple kwa sababu tayari ndege imeshashuka almost 50% ina maana in the next 2-3 minutes tungekuwa kwenye maji.
 
Kwa ambao hamjawahi kupanda ndege huu sio uzi wenu. Nyie anzisheni Uzi wa bodaboda na hiace maana ndege hazidondoki kwa ghafla zikiwa juu Sana.

Nyie wa bodaboda hatua yenu ni moja tu dreva akikosea kinachofwata ni baaaaaang na hapo mnakuwa hamna miguuu pua nk
Mbona unabagua walio wengisi mtachangia wachache sasa

All in all uzi wako unajadilika bila kupanda ndege, I can imagine the situation

Binafsi nitaanza kukumbuka wanangu, baba, mama nk
 
Hayo yote apo juu yanaweza yasitokee hata kidogo. Nulikutana na situation 1 mwaka 2014 nikitokea Abu Dhabi kwenda Bangkok (sitotaja jina la shirika la ndege) na ilikuwa usiku kama saa 8. Tulikuwa tumeshavuka kipande cha 1 cha Indian Ocean/Arabian Sea, tumeshavuka India/Hyderabad na sasa tumeanza kipande cha 2 cha Indian Ocean hili tuvuke kwenda Thailand mara ghafla ndege ikaanza kushuka wakati ikitembea pia na ikaendelea kushuka kwa kasi kubwa lkn ikisonga mbele pia.

Abiria kwa bahati mbaya tulikuwa tumetangaziwa tufungue mikanda kitambo so almost psgs wengi walikuwa wamefungua mikanda na kilichotokea ni kwamba psgs ambao hawakufunga mikanda nikiwemo mimi tulibaki kama tunaelea hewani kwa sababu nakumbuka nilikuwa nasikia gap kati ya makalio na seat na hii ilitokea almost kwa psgs wote ambao walikuwa hawajafunga mikanda.

Ndege ikashuka toka around 38,000ft mpaka 19,000ft kwa mda mfupi sana then ghafla ikaanza kupanda juu. Cha hajabu kwa mda huo mfupi hatukusikia sauti ya cabin crew yeyote zaidi ya kelele kidogo tu za psgs na mimi nilikuwa nashangaa tu kwa sababu nilianza kutetemeka baada ya incidence kuisha.

Baadaye rubani akaomba radhi kwamba tulipita kwenye eneo lililokuwa na VACUUM na uwa inatokea once in a while so ndege ikakosa support ( infact alitumua lugha zao sijuhi aerofoil na maneno mengine I was no longer interested nilikuwa natetemeka tu).

So that day nikagundua kwamba kumbe kufa ni very simple kwa sababu tayari ndege imeshashuka almost 50% ina maana in the next 2-3 minutes tungekuwa kwenye maji.
Poleni sana
 
10. Ni dying and crushing. Watu wanakuwa wamekufa kabisa kabla hata haijafika chini
Mko angani futi Kama 40,000 toka aridhini ambazo ni sawa na km 4 kwenda juu. Ghafla ndege inapata hitilafu mnaanza kusikia zile turbulence na I'm balances za ndege inayumba na inaanza ku nose dive kiashiria kimojawapo ni mizigo kuanza kudondoka toka kwenye carrier na mnaanza kuangalia chini badala ya mbele ikiashiria ndege inaenda ardhini. Je katika Hali hiyo unadhani Nini huwapata abiria?

Mimi nayaona yafuatayo.

1.Kujikojolea
2. Haja kubwa
3. Kitisho Cha obvious death.
4. Kuwaza familia watoto mke mme.
5. Kuzimia coz ya uoga.
6.pharting involuntarily.
7. Despair
8.Horror na chaos kwenye cabin
9.Movements na cries
10. Crushing and dying.
[/Q UOTE]
Ni sawa umelala usiku alafu ghafla ukakuta Jambazi liko chumbani kwako,ni sawa unakutana na simba peke yako porini,ni sawa na kusombwa na mafuriko, ni sawa na kupigwa na Bomu, hapo ni hofu kuu na ubongo hautafanya kazi katika mazingira hayo ni muujiza tu unaoweza kutenda kazi
 
Hayo yote apo juu yanaweza yasitokee hata kidogo. Nulikutana na situation 1 mwaka 2014 nikitokea Abu Dhabi kwenda Bangkok (sitotaja jina la shirika la ndege) na ilikuwa usiku kama saa 8. Tulikuwa tumeshavuka kipande cha 1 cha Indian Ocean/Arabian Sea, tumeshavuka India/Hyderabad na sasa tumeanza kipande cha 2 cha Indian Ocean hili tuvuke kwenda Thailand mara ghafla ndege ikaanza kushuka wakati ikitembea pia na ikaendelea kushuka kwa kasi kubwa lkn ikisonga mbele pia.

Abiria kwa bahati mbaya tulikuwa tumetangaziwa tufungue mikanda kitambo so almost psgs wengi walikuwa wamefungua mikanda na kilichotokea ni kwamba psgs ambao hawakufunga mikanda nikiwemo mimi tulibaki kama tunaelea hewani kwa sababu nakumbuka nilikuwa nasikia gap kati ya makalio na seat na hii ilitokea almost kwa psgs wote ambao walikuwa hawajafunga mikanda.

Ndege ikashuka toka around 38,000ft mpaka 19,000ft kwa mda mfupi sana then ghafla ikaanza kupanda juu. Cha hajabu kwa mda huo mfupi hatukusikia sauti ya cabin crew yeyote zaidi ya kelele kidogo tu za psgs na mimi nilikuwa nashangaa tu kwa sababu nilianza kutetemeka baada ya incidence kuisha.

Baadaye rubani akaomba radhi kwamba tulipita kwenye eneo lililokuwa na VACUUM na uwa inatokea once in a while so ndege ikakosa support ( infact alitumua lugha zao sijuhi aerofoil na maneno mengine I was no longer interested nilikuwa natetemeka tu).

So that day nikagundua kwamba kumbe kufa ni very simple kwa sababu tayari ndege imeshashuka almost 50% ina maana in the next 2-3 minutes tungekuwa kwenye maji.
Ina maana hapo rubani alikuwa akii contol ili irudi ktk situation yake au ilikuwa inamshinda?
 
Kwa ambao hamjawahi kupanda ndege huu sio uzi wenu. Nyie anzisheni Uzi wa bodaboda na hiace maana ndege hazidondoki kwa ghafla zikiwa juu Sana.

Nyie wa bodaboda hatua yenu ni moja tu dreva akikosea kinachofwata ni baaaaaang na hapo mnakuwa hamna miguuu pua nk
Pia kupand ndge mnazoziita beberus ndegezi cyo ufahali
 
Kwa wale ambao tumeisha kata tamaa nikufunguka kicheko balaa ukicheki watu wanavyo haha na vitambi vyao mwili mzima wameloa hujui hata wameoga muda gani
Yule wanamuita mtoa roho atakuwa Ni pacha wako mkuu. Kiukweli km ujasiri huu unao kwa hakika nikupe hongera sana.
 
Hayo yote apo juu yanaweza yasitokee hata kidogo. Nulikutana na situation 1 mwaka 2014 nikitokea Abu Dhabi kwenda Bangkok (sitotaja jina la shirika la ndege) na ilikuwa usiku kama saa 8. Tulikuwa tumeshavuka kipande cha 1 cha Indian Ocean/Arabian Sea, tumeshavuka India/Hyderabad na sasa tumeanza kipande cha 2 cha Indian Ocean hili tuvuke kwenda Thailand mara ghafla ndege ikaanza kushuka wakati ikitembea pia na ikaendelea kushuka kwa kasi kubwa lkn ikisonga mbele pia.

Abiria kwa bahati mbaya tulikuwa tumetangaziwa tufungue mikanda kitambo so almost psgs wengi walikuwa wamefungua mikanda na kilichotokea ni kwamba psgs ambao hawakufunga mikanda nikiwemo mimi tulibaki kama tunaelea hewani kwa sababu nakumbuka nilikuwa nasikia gap kati ya makalio na seat na hii ilitokea almost kwa psgs wote ambao walikuwa hawajafunga mikanda.

Ndege ikashuka toka around 38,000ft mpaka 19,000ft kwa mda mfupi sana then ghafla ikaanza kupanda juu. Cha hajabu kwa mda huo mfupi hatukusikia sauti ya cabin crew yeyote zaidi ya kelele kidogo tu za psgs na mimi nilikuwa nashangaa tu kwa sababu nilianza kutetemeka baada ya incidence kuisha.

Baadaye rubani akaomba radhi kwamba tulipita kwenye eneo lililokuwa na VACUUM na uwa inatokea once in a while so ndege ikakosa support ( infact alitumua lugha zao sijuhi aerofoil na maneno mengine I was no longer interested nilikuwa natetemeka tu).

So that day nikagundua kwamba kumbe kufa ni very simple kwa sababu tayari ndege imeshashuka almost 50% ina maana in the next 2-3 minutes tungekuwa kwenye maji.
Ndege huelea majini, hivyo maji ni eneo salama kwa ndege!
 
Kabla sija board inn nakua nishalamba vyombo vya kutosha lounge pale, nikiingia ndo kabisa muhudumu ninaye 24/7

Nafika hata sielewi ntapumzika nyumbani kwa bi mkubwa sitaki tabu.

Kuna siku Zurich jamaa kaweka ndege on pause 2 hrs tunazunguruka tu.

Anasimama wanaongea inakua usitue tunazunguruka tu huko juu.

After hiyo muda ndege ingine ishaniacha natakiwa mzigo 7 hr.

Ila customer care wale watu acha tu, walipiga kwa boss,wakasema what happen na kwamba ndege inayofata nakuja nayo.
Then ikawa vip treatment 🤣🤣🤣.

Nilikunywa Couvoiser Brandy mpaka nikasahau naitwa nani 😎🤸‍♀️🍾
 
Kwa ambao hamjawahi kupanda ndege huu sio uzi wenu. Nyie anzisheni Uzi wa bodaboda na hiace maana ndege hazidondoki kwa ghafla zikiwa juu Sana.

Nyie wa bodaboda hatua yenu ni moja tu dreva akikosea kinachofwata ni baaaaaang na hapo mnakuwa hamna miguuu pua nk
....na sie watembea kwa miguu, tunaangukaje?
 
Umewahi kutana na hali ya hewa mbaya mfano kama unaenda nchi za Afrika Magharibi kabla ya kuvuka equator au baada ya kuvuka equator au ukiwa ndani ya anga ya nchi za Ulaya au Marekani, anzia hapo kwanza then uje kwenye mada ya ndege kupata itilafu
 
Madameee upo!!? Bila shaka wewe utaangukia kimgongomgongo maana zigo limekosesha balance ya mwili! Huwezi kuangukia mbele
Wewe babe zangu Mung Chris na Arushaone huwa hawapendi muuongelee huu mzigo wangu maana wengi wataufatilia.

Mie nipo mkuu.
Kuna documentary moja niliona mdada katoka kufanyiwa plastic surgery ya matiti kisha akapanda ndege, sasa sijui ilitokea hali gani ndani ya ndege, yule mdada yale matiti ya bandia yakapasuka wakiwa angani. Ssa nami naogopa kupanda nisije pasuka mzigo mpwa.
 
Back
Top Bottom