Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,317
Kama mlivyofanya kwa Wagombea wa Urais kwa kuwahoji wote basi bila shaka ndivyo mtakavyofanya kwa wagombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo hasa baada ya kuanza kumhoji Mgombea ubunge wa CCM, Kitila Mkumbo wiki hii ambaye si kiongozi wa CCM.
Tunaamini atakayefuatia wiki ijayo ni Boniface Jacob wa CHADEMA.