mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
haya ndiyo madudu ya wabunge wetu tuliowachagua, ipo siku kama unaingia bungeni ni lazima tujue utajir wako maana wengi wameupata kwa uroho wa kujilimbikizia mali, hawa hawa ndio baadaye madeni yanawakaba sana kutokana na matumizi mabaya ya fedha za umma, uriho huu huu ndio unawafanya wajithamini sana.