Nina half ya damu ya kiafrika lakini naona wakati mwingine waafrika akili zao hazifanyi kazi.
Dakar Rally ni mashindano yaliyokua yanayoitangaza sana Africa, watu wengi sana wanaoishi karibu na maeneo ya mashindano walikua wanafaidika sana kibiashara na uchumi kuvutwa japo kidogo kwenda mbele.
Waafrika hawa hawa wakaanza kuwakaba nakuwanyang'anya watu wanaoshiriki na wasaidizi wamashindano.
Mashindano hayo sasa yamehamia Chile na Argentina kwakuogopa uvamizi wa waafrika.
Nani amepata hasara hapa?
Dakar Rally ni mashindano yaliyokua yanayoitangaza sana Africa, watu wengi sana wanaoishi karibu na maeneo ya mashindano walikua wanafaidika sana kibiashara na uchumi kuvutwa japo kidogo kwenda mbele.
Waafrika hawa hawa wakaanza kuwakaba nakuwanyang'anya watu wanaoshiriki na wasaidizi wamashindano.
Mashindano hayo sasa yamehamia Chile na Argentina kwakuogopa uvamizi wa waafrika.
Nani amepata hasara hapa?