Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,346
- 6,469
Huyu mhariri anaongelea Raia Mwema ambayo imeongelea JF poll. Mara ya mwishi sample ya Synovate ilikuwa watu 2,000. Wakati so far poll ya JF wamepiga kura watu 7,459. Je, na kipima joto cha ITV, nacho kinasema uwongo au sample haitoshi? Na ile ya kwao waliyoitoa, je sample haikutosha? Raia Mwema ameongelea wanamtandao na sio watanzania wote!
Na kama watumiaji wa internet ni wachache kwa nini Mama Salma anatuma tweets, CCM wana website, Ikulu wana blog, Tanzania Government ina website, Daily News wenyewe wana website?
Na kama watumiaji wa internet ni wachache kwa nini Mama Salma anatuma tweets, CCM wana website, Ikulu wana blog, Tanzania Government ina website, Daily News wenyewe wana website?