Elections 2010 Daily News: Slaa will not be the fifth president of Tanzania!

Naamini wanasheria wa Chadema, Wakili Mabere Nyaucho Marando na Wakili Tundu Antipas Lissu, wameshaliandikia "demand letter" (barua ya nia ya kushtaki) hilo DAILY NEWS kwa kashfa hiyo nzito inayowagusa watanzania wengi wenye upeo wa kutosha wa elimu ya uchaguzi ambao hawadanganyiki!
 
Katika editorial yao wameandika hivi (miongoni mwa mengine):

..And the truth is that DrWillibrod
Slaa will not be the fifth president of Tanzania.

Yaani Dailynews wanahakika (au wanahakikisha) kuwa Dr Slaa hawezi kuwa raisi wa Tanzania.
Wao ni nani kujua na kutangaza hili? Wameambiwa nini na serikali ambacho wananchi wengine hawajui?
Je tume ya uchaguzi inafanya nini kuhusu hili? BTW- Dailynews ni gazeti la serikali ya watanzania wote.

Dailynews linaendeshwa kwa pesa za kodi ya watanzania wote na sio ccm pekee.
Kama DTV walifungiwa kwa kutangaza matokeo ya Zanzibar mwaka 1995 kabla ya NEC,
Mbona Dailynews wamefanya hivyo hata kabla kula zenyewe hazijapigwa? na ni kwa mamlaka yapi?

Serikali inabidi ichukue hatua mara moja kuhusu hili, na vyombo vingine huru vya habari nchini inabidi vikamate bango ili Dailynews wapate staili yao kwa hili.
 
Kingine cha kutia kichefuchefu walichoandika ni hiki:

He will, indeed, garner some votes in October, just like Augustine Mrema in 1995, but that will be it, and the media behind the former priest can quote us on that.
 
Naamini wanasheria wa Chadema, Wakili Mabere Nyaucho Marando na Wakili Tundu Antipas Lissu, wameshaliandikia "demand letter" (barua ya nia ya kushtaki) hilo DAILY NEWS kwa kashfa hiyo nzito inayowagusa watanzania wengi wenye upeo wa kutosha wa elimu ya uchaguzi ambao hawadanganyiki!


Yes, nadhani hili inabidi likemewe kwa nguvu zote, na CHADEMA litumieni vizuri ni mtaji safi sana kwa wapiga kura, lipelekeni kwa wananchi, ili wanapopotoa hukumu yao 31 iwe ni ya haki na kweli, eleza vyema kwa kielelzo hiki jinsi serikali inavo sema kwa maana kwamba ilivo jipanga kuhujumu haki ya kura zetu kwa kutupachikia raisi wao!
 
Kingine cha kutia kichefuchefu walichoandika ni hiki:

Unajua kuwa hata utawala wa kirumi wakati wa kuanguka kwake ulijaribu kutumia vyombo kama hivi na bado ulianguka.Mwisho wa SISIEM umeefika hata wafanyeje, kuanguka kwa CCM empire has come to an end, no mercy on that.
 
CCm tunasema ushindi kwetu ni lazima sasa unataka vyombo vya habari vilipoti nini bwana ushindi kwetu tunao tena mkononi tutashinda tuu!! hata kwaaa...... ccm oleeeeeeee!!
 
After all does the DAILY NEWS editor understand the meaning of tabloid? he should go back to school to learn communication skills. That is why he doesn't comprehend the intensity of his language. I don't think RAIA MWEMA could be termed as tabloid, it is reputable newspaper.
 
SIo Uhuru ni Daily NEws, gazeti la walipa kodi wote akiwamo Slaa kupitia maoni yake ya mhariri limesema;


"And the truth is that Dr Willibrod Slaa will not be the fifth president of Tanzania.
The Chadema candidate has a lot of issues to settle, beginning at family level, from which he will need to practice leadership upwards. He will, indeed, garner some votes in October, just like Augustine Mrema in 1995, but that will be it, and the media behind the former priest can quote us on that."




Hii ni HATARI sana kwa demokrasia na nitashangaa sana kama Tume ya Uchaguzi itanyamazia na hawatachuuliwa hatua.


SOURCE: Daily News

Sababu hasa ni hii:
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...ma-dr-slaa-atashinda-urais-2.html#post1099274

Na hii:
Wanamtandao wampa Dk. Slaa ushindi 76%

ccm ushindi kwetu ni lazima!! ccm oleeeeeeeee!!
 
It is not fare to take bits and pieces of an article na kufikia conclusion. Uli takiwa kutoa the whole article wasomaji waone ni kwa nini conclusion hiyo ilifikiwa na hilo gazeti. Anyway down here I'll quote an article from the editor of Daily News. Somemi kitu kizima ndiyo mtoe hukumu.

EDITOR, 23rd September 2010 @ 01:55,

A vividly pro-Willibrod Slaa weekly tabloid has used our name in a shameful attempt to prop up the Chadema presidential candidate's campaign, suggesting that he was being backed by three quarters of local internet surfers.

In its lead story on Tuesday, the September 22-28 edition of the tabloid deliberately misused an online poll involving a mere 161 visitors to purport that the whole nation was behind Slaa. While noting the tabloid editors' virtual confession that they cannot be believed without quoting the Daily News, we abhor the unprofessional decision to use our name to lend credence to their wildly hopeless adventure.

The editors of the tabloid know that the figures they used are quoted out of context and are absolutely unrealistic. That is why they confess in the fabricated report that very few Tanzanians have access to the internet and that the purported poll results do not reflect
what will come out of the October 31 ballot.

So why would they venture out with old poll results today? Vicious anti-establishment fervor at best and malicious conspiracy to settle old scores at worst. That is typical activist journalism practiced by a section of the media, which has openly identified with the opposition and plays down any positive achievement of President Kikwete's government while orchestrating purported failures, mostly made up ones.

The attempt to enlist the support of the Daily News was apparently meant to save another tabloid blushes after carrying an equally wild fabrication to the effect that Synovate had censored results of a poll showing Slaa leading president Kikwete by four points in popularity. The pollster has publicly derided the tabloid and lodged a complaint with the Media Council.

It is high time that section of the media learnt its lessons and returned to professional practice. We think there is nothing particularly wrong in covering presidential aspirants favourably, but the reports must at least be true. And the truth is that DrWillibrod
Slaa will not be the fifth president of Tanzania.

The Chadema candidate has a lot of issues to settle, beginning at family level, from which he will need to practice leadership upwards. He will, indeed, garner some votes in October, just like Augustine Mrema in 1995, but that will be it, and the media behind the former priest can quote us on that.
 
It is not fare to take bits and pieces of an article na kufikia conclusion. Uli takiwa kutoa the whole article wasomaji waone ni kwa nini conclusion hiyo ilifikiwa na hilo gazeti. Anyway down here I'll quote an article from the editor of Daily News. Somemi kitu kizima ndiyo mtoe hukumu.

Na hiyo article nzima imepinga nilichoandika?
 
Back
Top Bottom