Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Leo Daily News ina kichwa cha habari kisemacho............"Obama salutes JK, Shein........."
Na Habari Leo wao wasema Chadema yakubali yaishe na JK.........................sasa kuwatuma wabunge wake wakachape kazi Bungeni.........
Sote tunafahamu Obama alitupongeza watanzania wote kwa kuendesha uchaguzi wa amani na aliwapongeza Shein na Hamad lakini hakumpongeza JK...........kwa hiyo Daily News wamechakachua barua ya Obama kwetu........................................
Na Jana Chadema kupitia Mwenyekiti wao Freeman Mbowe alipokuwa anaongea na waandishi wa habari alitoa tamko kuwa wao hawamtambui JK na wale wote atakaowateua...........
.............habari hii imeungwa mkono karibu na magazeti yote.......Tanzania Daima imemnukuu Dr. Slaa akisema...................Hatutamtambua JK....................
The Citizen nalo limesema...............We don't recognize government, says Chadema.................
Majira nalo limesema....................................Slaa amkataa JK...........Chadema kutotambua uteuzi wowote wa JK..
Na gazeti la Mwananchi lina habari hiyohiyo...............................Sasa hawa wenzetu wa Habari Leo hiyo taarifa ya kuwa Chadema yakubali yaishe na JK wameitoa wapi?