Daily news, Habari leo, Hasa Michuzi

Darwin

JF-Expert Member
May 14, 2008
908
56
Jamaa juzi kwenye blog yake akasema anakwenda Dodoma kwenye vekesheni

Leo anapost images alizochukua Dodoma kuonyesha baadhi ya wakereketwa wa CCM wakiunga mkono hotuba ya mheshimwa. guess what!? title inasema SPICHI YA JK BUNGENI YAUNGWA MKONO DODOMA

Michuzi kama ndio unawaita wananchi wa Dodoma basi CCM kweli imefikia tamati

Hebu angalieni waandamanaji kwenye hizi video
Unaweza hata kuwahesabu
http://dailynews.habarileo.co.tz/st...nDodomainapublicrallyonAugust262008.flv&id=83

Michuzi kaa ujue kwamba nguo unaweza kuiweka viraka ikiwa imechanika kidogo lakini kama ndio imeshaoza basi hata uweke viraka lakini itazidi kukufedhehesha hadharani.
Na hii ndio inayoonyesha video zako ulizopost kwenye hio tovuti yenu.
 
jamani unataka michuzi alale njaa? na familia yake je?
wote waliosomea uandishi wa habari wanajua namna ya kupiga picha na kuzichambua picha za kupublish kuendana na msg wanayoitaka ifike. (bila kujifunga)
just get the msg and work from it. that is what happended!!!
 
Hivi hao ndiyo wananchi wa Dodoma ama ndio akina CCM wa Dodoma!Halafu just look at them well!They look hungry and underpaid!They are just doing it ili angalau wapate fedha ya mboga!
 
Kwani kikwete kesha pata mpiga picha lazima jamaa aone mbali aongeze kipata cha kuongoza nyumba ndogo,si unajua michuzi aliligewa kwenye vidonda vya wanawake na mchawi wake kafa so heve to work hard to reimain explainable in the word of nyumba ndogo.
 
jamani unataka michuzi alale njaa? na familia yake je?
wote waliosomea uandishi wa habari wanajua namna ya kupiga picha na kuzichambua picha za kupublish kuendana na msg wanayoitaka ifike. (bila kujifunga)
just get the msg and work from it. that is what happended!!!

Haika nampongeza na kazi zake ila na yeye akubali kukosolewa, amekosea akisema SPICHI YA JK BUNGENI YAUNGWA MKONO DODOMA.
Wananchi wa Dodoma wako wapi hapo kama sio baadhi ya wakereketwa?
Ina maana hao ndio wakaazi wote wa Dodoma?
Hebu isome vizuri hio video, angalia wanaoshangilia yaani hata harusi yangu pale Mombo mwezi wa jana ilikua na watu wengi kushinda hao anaowaita watu wa Dodoma.
 
Correctionnnnnnnnnn!Ni Wapenzi wa CCM waliosafirishwa kutoka Dar kuja kuishangilia CCM!
Kheeeee heeeeee heeee!
CCM haijafikia hatua hiyo, naona sasa umeamua kuandika ili kufurahisha jamvi na sio kusimamia ukweli kuwa hao na wakaazi wa Dodoma
 
Haika nampongeza na kazi zake ila na yeye akubali kukosolewa, amekosea akisema SPICHI YA JK BUNGENI YAUNGWA MKONO DODOMA.
Wananchi wa Dodoma wako wapi hapo kama sio baadhi ya wakereketwa?
Ina maana hao ndio wakaazi wote wa Dodoma?
Hebu isome vizuri hio video, angalia wanaoshangilia yaani hata harusi yangu pale Mombo mwezi wa jana ilikua na watu wengi kushinda hao anaowaita watu wa Dodoma.

ndio sababu nasema 'elewa picha alioichagua' you have the freedom.
just read the picture.
maadam hajasema wananchi wote dodoma, au wananchi wengi au makundi makubwa ya wananchi.
 
Kheeeee heeeeee heeee!
CCM haijafikia hatua hiyo, naona sasa umeamua kuandika ili kufurahisha jamvi na sio kusimamia ukweli kuwa hao na wakaazi wa Dodoma

Ukweli upi?Kwamba ni sawa kuandamana kumuunga huyo kichaa?Give me a break please!Wawe ni wakaazi wa Dodoma au la wahtaever they are doing is utter madness and does not need the endorsement hata ya muokota makopo huko mitaani!
 
Ukweli upi?Kwamba ni sawa kuandamana kumuunga huyo kichaa?Give me a break please!Wawe ni wakaazi wa Dodoma au la wahtaever they are doing is utter madness and does not need the endorsement hata ya muokota makopo huko mitaani!
MMh.. Kama ni kichaa basi ni kichaa bora mwenye kupendwa sana... Bado
Sijaona hao wakaazi wa Dar kwenye picha hii
attachment.php

Picture source: Michuzi blog
 

Attachments

  • jk.jpg
    jk.jpg
    81 KB · Views: 2,758
Last edited:
MMh.. Kama ni kichaa basi ni kichaa bora mwenye kupendwa sana... Bado
Sijaona hao wakaazi wa Dar kwenye picha hii
attachment.php

Picture source: Michuzi blog

Ebu angalia ile video ya Daily News and if probably you are in Dar I assure you doug you wont miss a person you know and probably your next door neighbour!
 
Kiasi wawe wengi kwenye arusi, kwani wapenda misosi ya dezo wapo wengi....

Umemsikia PM wako alivyosema juzi?

Alisema, Changieni elimu na sio harusi!

Kwahio mr hapo umeshapata jibu lako tayari kwamba wanaokuja kwenye harusi pia wamechangia, bwahaahahaaaaaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom