Dai la katiba mpya linaweza kuwa ni ugaidi kwa maana hii

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,629
5,134
Nimewaza mengi. Nikagundua kwamba kudai katiba mpya italeta hofu ya kupokwa madaraka miongoni mwa viongozi walioko madarakani , hofu hupelekea presha (hypertension) na visukari (diabetes) kupanda, na hatimaye kifo. Hivo basi kudai katiba mpya kunako fanywa na wanaharakati na vyama pinzani ni ugaidi wa kutaka kuua viongozi wa serikali.
 
Sidhani kama kudai katiba ni sababu..mbona waliodai katiba ni wengi na hawajapewa kesi ya ugaidi?..mbowe atakua na mambo yake mengine tu nahisi
 
Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
 
... uko sahihi to some extent japo pol-ccm wamekuwa very specific gaidi ni mmoja tu, Mbowe, ambaye alikuwa anatafutwa muda mrefu na siku, by coincidence, muda mfupi kabla ya kongamano la katiba mpya akatiwa nguvuni na vyombo mahiri vya usalama baada ya kupata taarifa nzito na nyeti za siri wakishirikiana na vyombo vingine vya kikanda na kimataifa!

... Let's give them benefit of doubt; je, kwa kuwa gaidi hatari sana kwa usalama wa nchi yuko "pahala salama" mikutano ya katiba mpya inaweza kuendelea? Maandiko yanasema, "mdomo wa kweli utathibitishwa milele; bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu." Ndipo tulipofikia kama nchi!
 
Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
Kivipi kudai katiba mpya kuwa ni uroho wa madaraka ya kuingia ikulu?.Je jibu la raisi kusubiri kwanza wasidai katiba amejadiliana na nani?. Je CHADEMA hawajamuomba raisi kukutana naye ili wajadili mustakabali wa nchi ikiwemo katiba?.
 
Kivipi kudai katiba mpya kuwa ni uroho wa madaraka ya kuingia ikulu?.Je jibu la raisi kusubiri kwanza wasidai katiba amejadiliana na nani?. Je CHADEMA hawajamuomba raisi kukutana naye ili wajadili mustakabali wa nchi ikiwemo katiba?.
Endapo wameomba kuonana na mamlaka husika wavute subra ratiba ya itapangwa wakati utakapofika kwa sasa rais wetu ana shughuli nyingi sana za kurudisha nchi kwenye mstari wake
 
Nimewaza mengi. Nikagundua kwamba kudai katiba mpya italeta hofu ya kupokwa madaraka miongoni mwa viongozi walioko madarakani , hofu hupelekea presha (hypertension) na visukari (diabetes) kupanda, na hatimaye kifo. Hivo basi kudai katiba mpya kunako fanywa na wanaharakati na vyama pinzani ni ugaidi wa kutaka kuua viongozi wa serikali.
Fact
 
Vyama vya upinzan gan vinavyodai katiba zaid ya mbowe??aanzie na katiba ya chama chake kwanza,why miaka 17 yupo hapo hapo na hatak kuondoka??
 
Kivipi kudai katiba mpya kuwa ni uroho wa madaraka ya kuingia ikulu?.Je jibu la raisi kusubiri kwanza wasidai katiba amejadiliana na nani?. Je CHADEMA hawajamuomba raisi kukutana naye ili wajadili mustakabali wa nchi ikiwemo katiba?.
Utulivu wa kisiasa in No 1
Angeanza na hili kundi ndipo yafuate makundi mengine,tena angepata kujua hata udhaifu wa hoja zao na uimara wa hoja zao.
Dharau ni mbaya
 
Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
Halafu unajita crocodile wakati ni kenge tu. Lini nyie mi-ccm mkakubali katiba mpya kwa hiari?. Kwa hiyo huyo aliekuambia katiba isubiri kwanza ajenge uchumi unaamini katika hilo?.

Uchumi upi unaojengwa? Huu wa kuwalazimisha watu wahamie Burundi wasioitaka kukamuliwa kwenye miamala? Uchumi wa mafuta mfano kuwa 2500 kwa lita kwa kwetu na zambia wanaopitishia mafuta yao bandarini kwetu yakiwa 1500 kwa lita kwa thamani ya pesa ya kwetu?.

Katiba mpya ni lazima na usitegemee kuna kiongozi waliopo madarakani wataikubali kirahisi tu habari ya katiba mpya,ksbb ni mwiba mchungu kwenu. Katiba mpya ndio ahueni ya mwananchi anaehoji na kuambiwa ahamie burundi
 
Halafu unajita crocodile wakati ni kenge tu. Lini nyie mi-ccm mkakubali katiba mpya kwa hiari?. Kwa hiyo huyo aliekuambia katiba isubiri kwanza ajenge uchumi unaamini katika hilo?.

Uchumi upi unaojengwa? Huu wa kuwalazimisha watu wahamie Burundi wasioitaka kukamuliwa kwenye miamala? Uchumi wa mafuta mfano kuwa 2500 kwa lita kwa kwetu na zambia wanaopitishia mafuta yao bandarini kwetu yakiwa 1500 kwa lita kwa thamani ya pesa ya kwetu?.

Katiba mpya ni lazima na usitegemee kuna kiongozi waliopo madarakani wataikubali kirahisi tu habari ya katiba mpya,ksbb ni mwiba mchungu kwenu. Katiba mpya ndio ahueni ya mwananchi anaehoji na kuambiwa ahamie burundi
katiba yetu inahitaji reformations
 
Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
Kwahiyo katiba mpya ikiatikana Chadema wataingia madarakani! Kivipi?
 
Rais amesema suala hili lisubiri kwanza wakati akiirudisha nchi yetu katika hali iliyo bora kuliko hapo awali kinachoshangaza uharaka wa suala katiba mpya sielewi chadema kwa nini wanalilazimisha kupita maelezo, Kwa vyovyoye hawa ni watu ambao ni waroho wa madaraka na lango lao kuingilia ikulu ili kujineemesha ni kudai katiba kwa nguvu, TANZANIA NI NCHI YA KIMAJADILIANO ZAIDI KULIKO MABAVU YAO, nadhani hekima ni wangeomba majadiliano kuhusu lini serekali inaona ni wakati muafaka wa kulijadili jambo hili.
Uchumi ulianza kujengwa baada tu ya uhuru 1961. Hauwezi kuwa nzuri zaidi miaka mitano hii ya Samia . Maghufuli alitumia lugha hiyo hiyo na ndiyo ukaporomoka zaidi. Hizo ni delaying tactics . Mijadala ya katiba inazuiaJe uchumi wa nchi !!??. Huu ndiyo uroho wa madaraka
 
Back
Top Bottom