Dah!!!!

DR. Mlay

Member
Nov 8, 2010
26
0
:thinking: Dah! Wandugu nimekwama kidogo naumri nao umesoge naombeni mnikumbushie swala moja tu. Nataka kuandika HIstoria ya maisha yangu kutokana na kwamba nimepitia maswaibu mengi sana sasa sijui nianzie wapi. Tafadhalini kama kuna anaeweza kunipa mwanga kidogo nigeshukuru sana........!
 
ni rahisi sana na mimi nilishafanya hivyo na kumsaidia bbaba yangu kuandia yake.

tenga maisha yako katika miaka ya kumikumi na kisha miaka mitanomitano. kisha weka bulets za mambo muhimu katika kila kipindi, halafu unaunganisha kwa mtindo wa insha. it is done.

ni muhimu kwa kuanza iwe brief, baadaye uongeze iwe ndefu, na bbadaye tena ui-condense ndo itatoka vizuri.

pongezi kwa kutaka kuacha maandishi ya historia yako
 
Back
Top Bottom