proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,328
- Thread starter
- #61
Mara nyingine nikituma SMS hapokei kabisa ingawa call anajibu,
Hakuja kwenye kikao huyu jamaaKwenye kikao tulisema mwisho siku tatu akiwa na chura ni wiki ndo makubaliano tuliyoyafikia hayo ndo madhara yakutokuja kwenye vikao
Unasubiria majibu utadhani unasubiria post za ajira za walimu wa Sanaa serikalini
Bro kama mwanamke hakuekewi achana naye najua ni ngumu ilf jifunze kukubalianaa na hali
Kwani mpk leo ajampata tu.. naona kafufua kaburiBro kama mwanamke hakuekewi achana naye najua ni ngumu ilf jifunze kukubalianaa na hali
Ujafanikisha bado tu mkuuHuwa naongea nae zaidi ya masaa 2 sanasana usiku ,karibu kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Una mpango wa kuoa?Kuna binti mwenzake anakaa nae kaniambia kwamba kaanae zaidi ya miaka 3 sasa hajaona akileta wala kuchat na mwanaume kuhusu mapenzi na mwanaume wa kwanza kuingia pale kwao ni mimi, kwa muda nilioenda pale kama angekuwa na Mtu ningeshajua aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado yeye anasema anashindwa kufanya maamuzi kwa sababu ya kiimani ,yeye ni mlokole na Mimi Mkatoriki
Yes hilo ndio lengo langu, ila anada kwamba imani yake hairuhusu kuolewa na mtu asiyeokoka