Dah! Yaani miaka yote hiyo ya SADC ndio leo Tanzania inawaza kuweka ubalozi Namibia

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,744
48,385
Ama kwa kweli majirani zetu WaTz wako nyuma kwenye mambo mengi sana, sijui mbona huwa wamelala hivi, kuna vitu vidogo vidogo unakuja kushtuka hawakua navyo muda wote huu, kwa mfano nilishangaa sana kwamba miaka yote walikua wanatumia radars zetu, juzi tu ndio wamejitutumua na kuwekeza yao.

Ukiwa mzoefu wa kujaza forms online, pale unahitajika kuchagua nchi, nimezoea kuikosa Tanzania kwenye baadhi ya mataifa ya kuchagua, wenzetu "sleeping giant" lini mtazinduka, tatizo mnapenda makelele sana ila matendo zero, leo ndio mnawaza kuwekeza ubalozi Namibia, hao hapo mlio nao kwenye SADC, sisi tulishasimika ya kwetu kitambo enzi zile.
Ndio maana tunawazidi kwenye biashara baina yetu na mataifa ya SADC, nyie hamna zaidi ya dhahabu yenu inayochukuliwa na kaburu wa Kusini.
--------------------------------------------------

Tanzania will soon open an embassy in Namibia as the two countries seek to foster bilateral relations in an endeavour to deepen economic ties.

Speaking during a Joint Permanent Commission of Cooperation (JPCC) for the two countries in Dar es Salaam yesterday, Tanzania’s minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Prof Palamagamba Kabudi, said Namibia has also said it will open an embassy in Tanzania.
 
MK254,
welldone Kenya, na nimesikia SA imerefusha na kurahisha mawasiliano ya raia,wafanya biashara, watalii baina ya Kenya na SA, na pia hongereni kwa kuwa nchi ya kwanza duniani kwa SA KUJARIBU e-Visa zao (hii ni technolojia mpya kwenye masuala ya kurahisisha visa).
 
welldone Kenya,na nimesikia SA imerefusha na kurahisha mawasiliano ya raia,wafanya biashara,watalii baina ya Kenya na SA,na pia hongereni kwa kuwa nchi ya kwanza duniani kwa SA KUJARIBU e-Visa zao(hii ni technolojia mpya kwenye masuala ya kurahisisha visa).

Shukrani, hilo la e-visa sikua na habari nalo..
 
Mkubwa MK254 kiukweli tulikuwa tumejisahau sana kwenye baadhi ya mambo tena ya muhimu Ila ndio hivyo nyie corruption, changaa na miraa vinawala mibichwa yenu mngekuwa mbali sana
 
Ama kwa kweli majirani zetu WaTz wako nyuma kwenye mambo mengi sana, sijui mbona huwa wamelala hivi, kuna vitu vidogo vidogo unakuja kushtuka hawakua navyo muda wote huu, kwa mfano nilishangaa sana kwamba miaka yote walikua wanatumia radars zetu, juzi tu ndio wamejitutumua na kuwekeza yao.

Ukiwa mzoefu wa kujaza forms online, pale unahitajika kuchagua nchi, nimezoea kuikosa Tanzania kwenye baadhi ya mataifa ya kuchagua, wenzetu "sleeping giant" lini mtazinduka, tatizo mnapenda makelele sana ila matendo zero, leo ndio mnawaza kuwekeza ubalozi Namibia, hao hapo mlio nao kwenye SADC, sisi tulishasimika ya kwetu kitambo enzi zile.
Ndio maana tunawazidi kwenye biashara baina yetu na mataifa ya SADC, nyie hamna zaidi ya dhahabu yenu inayochukuliwa na kaburu wa Kusini.
--------------------------------------------------

Tanzania will soon open an embassy in Namibia as the two countries seek to foster bilateral relations in an endeavour to deepen economic ties.

Speaking during a Joint Permanent Commission of Cooperation (JPCC) for the two countries in Dar es Salaam yesterday, Tanzania’s minister for Foreign Affairs and East African Cooperation, Prof Palamagamba Kabudi, said Namibia has also said it will open an embassy in Tanzania.
Sasa Kwan wao walikua na balozi hapa kwetu?? Hujasoma kwamba nao watasimika ubaloz wao kwetu.......The thing u don't know nyie wa KENCHINA Ni kua huopen tu ubaloz anywhere lazma kuwe n purpose na vigezo na uhitaj.....

Sis cyo ninyi mnaenda enda tu mnajulikana dunian kwa the greatest slams in the middle of Nairobi....
Hapa nyie ndo mmetufungia mahesabu.....
Hi n nchi ya maziwa na asali hata masikin Yuko na ardhi ya kutosha !!...nyie 90% no land na president n minister ndo wako na land....how unfair is.....
As u say.....MNAVUMILIA KUA WAKENYA....
 
Back
Top Bottom