Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Sijakuelewa Mtani?
Binadamu tumeumbwa tofauti..
Binadamu tumeumbwa tofauti..
Uwenda analia kweli....Sijakuelewa Mtani?
Uwenda analia kweli....
Haya mtani...Nina wapa pole wale wote walioguswa na msiba...Yah! Ndio maana nkasema nisihukumu huenda analia kweli.
Hahahaaa. Umeonaeeee.
Waeza kuta kajiweka hivyo apigwe picha tu tu ili baada ya hapo airushe insta apate likes na followers lakini nje ya hapo hana hata chembe ya Uchungu.
Waigizaji si wa kuwaamini hata kidogo.