Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,780
- 18,747
Ebanae leo nilikutana na jamaa kaniambia pole kwa msiba, nikamuuliza msiba gani? Kaniambia eti wa Ruge,sasa nikajiuliza Ruge ananihusu nini mimi?
Najua kasaidia wengi, wasanii, wafanyakazi wa clouds,viongozi wa CCM n.k, ila mimi kanisaidiaje?
Mwingine nikakutana nae akaniambia kwa nini sikuenda msibani? Nikauliza msiba gani? (Japo nilishajua anamaanisha wa Ruge)
Akanijibu wa Ruge, sasa nikashangaa tena zaidi, nikamuuliza kwani msiba unanihusu nini mimi?
Akaniambia amewasaidia Watanzania wengi na mimi nikiwemo, dah, sikutaka kubishana sana nikajibu tu nilikuwa bize
Wakati nikikubali na kunuheshimu sana marehemu kawasaidia wengi, ila hili jambo limekuzwa sana (sababu ya yeye kuwa mtu wa media)
Hii sio mara ya kwanza, kwa Watanzania kukuza misiba hivi, tuliona Masogange ambaye alikuwa ni video queen na mtu anayetupia picha za kutamanisha kingono mtandaoni msiba wake ukikuzwa sana kiasi kwamba hadi Rais kupeleka salamu za rambirambi
Nikajiuliza sana hivi Watanzania tuna IQ ndogo kiasi hiki?
Yaani propaganda za media zinatuaminisha kirahisi kuwa mtu fulani ni muhimu japo ipo wazi kabisa sio muhimu?
Kuna mtoto mwingine aliitwa Patrick, basi na msiba wake ukageuka kuwa msiba wa taifa, unajiuliza kwani huyu alikuwa ni nani?
Kumbe alikuwa akitupia picha mtandaoni..
Najua kasaidia wengi, wasanii, wafanyakazi wa clouds,viongozi wa CCM n.k, ila mimi kanisaidiaje?
Mwingine nikakutana nae akaniambia kwa nini sikuenda msibani? Nikauliza msiba gani? (Japo nilishajua anamaanisha wa Ruge)
Akanijibu wa Ruge, sasa nikashangaa tena zaidi, nikamuuliza kwani msiba unanihusu nini mimi?
Akaniambia amewasaidia Watanzania wengi na mimi nikiwemo, dah, sikutaka kubishana sana nikajibu tu nilikuwa bize
Wakati nikikubali na kunuheshimu sana marehemu kawasaidia wengi, ila hili jambo limekuzwa sana (sababu ya yeye kuwa mtu wa media)
Hii sio mara ya kwanza, kwa Watanzania kukuza misiba hivi, tuliona Masogange ambaye alikuwa ni video queen na mtu anayetupia picha za kutamanisha kingono mtandaoni msiba wake ukikuzwa sana kiasi kwamba hadi Rais kupeleka salamu za rambirambi
Nikajiuliza sana hivi Watanzania tuna IQ ndogo kiasi hiki?
Yaani propaganda za media zinatuaminisha kirahisi kuwa mtu fulani ni muhimu japo ipo wazi kabisa sio muhimu?
Kuna mtoto mwingine aliitwa Patrick, basi na msiba wake ukageuka kuwa msiba wa taifa, unajiuliza kwani huyu alikuwa ni nani?
Kumbe alikuwa akitupia picha mtandaoni..