Troublemaker JF-Expert Member Jun 8, 2015 19,858 38,462 Mar 29, 2019 #1 Yaani kuna muda nikipitia nyimbo zake za zamani kama stimu zimelipiwa huwa naona kama watu wawili tofauti. troublemaker 2019. all right reserved.
Yaani kuna muda nikipitia nyimbo zake za zamani kama stimu zimelipiwa huwa naona kama watu wawili tofauti. troublemaker 2019. all right reserved.
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,284 38,312 Mar 29, 2019 #2 Jamaa alikuwa na mistari yenye ujumbe wa kufikirisha na yenye vina. Siku hizi sijui anaimba nini.!
Hieraatus Spilogaster Member Feb 17, 2019 13 27 Mar 30, 2019 #3 Mwenyewe mpaka leo nyimbo za Joh nnazosikiliza ni za zamani.. siku hizi simuelewi kwa kweli Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe mpaka leo nyimbo za Joh nnazosikiliza ni za zamani.. siku hizi simuelewi kwa kweli Sent using Jamii Forums mobile app
Moo Click JF-Expert Member Feb 18, 2015 3,496 3,233 Mar 30, 2019 #4 Tatizo soko Mkuu unataka alale njaa?...au Sent using Jamii Forums mobile app
sawee225 JF-Expert Member Jun 14, 2017 3,221 12,093 Mar 30, 2019 #5 Tatizo soko...akiendelea kuimba izo ngumu kwa apa bongo atakufa njaa uku akifurahisha umati...wacha aimbe izo sizizoeleweka maana ndo vijana wasasa wanapemda na kussuport Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo soko...akiendelea kuimba izo ngumu kwa apa bongo atakufa njaa uku akifurahisha umati...wacha aimbe izo sizizoeleweka maana ndo vijana wasasa wanapemda na kussuport Sent using Jamii Forums mobile app