Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 286
- 291
Well said bro...Waafrica na watu weusi kwa ujumla ni washamba sana, eti unawaita wazungu hawajali kuvaa, ili ajali kuvaa awe vipi? unajua thamani ya hicho kiatu unachokitolea mfano?
Kun people znaushamba au niseme utumwa wa kifikra juu ya mzungu
Usilo lijua,hakun watu ambao wapo smart na wanaotupia kam wazungu,ni mara chache sana kumuona mzungu akiwa rafu au kavaa moshi kam hii yetu
Guys acheni kujidharau na ndio maana tunadharaurik san na wazungu...